mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 218
NitAumia Sugu akichomolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakome watanzania. Wewe si msemaji wao, nyie ndio mnaifanya siasa ionekane ni chuki na fitna za kijinga kabisa. Ameshindwa kuongoza pambio la hamo akaishia kurukaruka kama kifaranga, ataweza kuongoza Jimbo? Wanaccm walishastaafu, wamebaki wachumia tumbo na wanafiki tu. Mmojawapo ni WEWEKila Mtanzania ni mwanaccm
Kwa sababu hana akili nyingi.Mbona anatumia nguvu nyingi sana
Mkuu G Sam kwa iron hyperbole na sarcasm umetisha🤣🤣🤣🤣Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.
Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.
Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Anaye wa ndoa kabisa...Huyu mwanamke naye hivi an Mme kweli
Tulia amzidi kipato Sugu ?Sugu hapa anakazi anaenda angushwa nahuyu mama...
- kamzidi elimu
- kamzidi kipato
- kamzidi ukubwa wachama
- kamzidi miradi jimboni
- kamzidi cheo bungeni
- kamzidi ukaribu na serikali
- kamzidi ukaribu na tume ya uchaguzi,wasimamizi,polisi,mkurugenzi,DC nk
- kamzidi urefu hahahaaaa
Kiinua mgongo sugu bora awekeze hotelini siasani atapoteza mkwanja vipindi viwili vimtoshe
Sugu anamzidi Tulia wapiga kura mtaiba kura laki mbili dhidi ya 2000 za Tulia ?Sugu hapa anakazi anaenda angushwa nahuyu mama...
- kamzidi elimu
- kamzidi kipato
- kamzidi ukubwa wachama
- kamzidi miradi jimboni
- kamzidi cheo bungeni
- kamzidi ukaribu na serikali
- kamzidi ukaribu na tume ya uchaguzi,wasimamizi,polisi,mkurugenzi,DC nk
- kamzidi urefu hahahaaaa
Kiinua mgongo sugu bora awekeze hotelini siasani atapoteza mkwanja vipindi viwili vimtoshe