Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Akson afanya tena jambo kubwa lililomshinda Sugu kipindi chake chote cha ubunge, apongezwa kila kona

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Akson afanya tena jambo kubwa lililomshinda Sugu kipindi chake chote cha ubunge, apongezwa kila kona

Huku kampeini za ubunge hazijaanza rasmi nchini, jijini mbeya mh Sugu anaonekana kumtesa bi Tulia kwa kumfanya awe mtumwa.

Pichani anaonekana Tulia akifanya kazi za ukibarua wa ujenzi wa nyumba ili mradi kujitafutia umaarufu kwa kuwavutia wana mbeya.

Pamoja na hayo yote bado wana mbeya tuna mwambia kuwa hata akubeba zege bado haitatubadilisha msimamo wa mapenzi yetu kwa mh Sugu. View attachment 1487732
Hichi kabetina si kikalee familia sura mbaya [emoji3]
 
Huyu binti ameshiriki kuzima mijadala yenye maslahi ya wengi.
 
Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Tunalisubiri BOX
 
Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Mafundi ujenzi wote wangekuwa hivyo mbona pasingetosha! Wana Mbeya kazi mnayo
 
Amekumbuka kuwanunulia watoto wako na wazazi wako unga walau wapate mlo wa siku?
 
😀😀😀 Dada asante sana kwa juhudi zako kwa hapa mbeya ila tunakuomba uwe na moyo huo huo hata baada ya uchaguzi wanambeya tutavyompitisha sugu aendelee kuwa mbunge

hapa mbeya hata ufe na ufufuke upya watu wa hapa wanamkubali sana sugu, kama huamini nenda tu hata pale mwanjelwa uliza watu kumi😀😀

Mgawano wa majukumu ni kitu kizuri sana, hivyo nakuomba sana dada uendelee na jukumu lako la kuzindua miradi huku sugu akiendelea kuwa mbunge.

Kuna mwenye swali??😁😁
 
Wakiomba kura wanakuwa humble ,wakirudi bungeni wana roho ya unyama
Wewe ndiyo unawajua wanasiasa vizuri; ni wanafiki kweli. Kumbukia wimbo huu, nimeutafuta tena baada ya kusoma post yako hii

 
Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Eti naye alisoma shule ya sekondari Loleza! Gagula.
 
Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559



Wewe ndiye unamsaidia kampeni. Au ndiyo mume wake kisiasa. !!!
 
Back
Top Bottom