Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Akson afanya tena jambo kubwa lililomshinda Sugu kipindi chake chote cha ubunge, apongezwa kila kona

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Akson afanya tena jambo kubwa lililomshinda Sugu kipindi chake chote cha ubunge, apongezwa kila kona

Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Ungejua unampa promo, wewe ukijua wamponda...
 
Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Hadi huruma. Kwanini haridhiki na Jimbo lake la Ikulu?
 
Sugu aende akasaini msondo ngoma tu,ubunge kwa heri
Dada msomi anatosha
Alafu akishinda ubunge mnarukaruka akirudi kushukuru anawaambia maendeleo ni kufanya kazi "fanyeni kazi".....kwa bunge letu bora niwachague kina Musukuma, Kinyimba, Lusinde au Sugu ili hao wasomi wakasaidie kunoa vichwa vya vijana maana hata wakiingia bungeni wanafanya maamuzi kwa kuzingatia maslahi ya vyama vyao na kama hivyo bora tuwapeleke wengine angalau tutasingizia hawana uelewa kuliko kuwa na watu wenye uelewa alafu wanapitisha kila kitu
 
Huku kampeini za ubunge hazijaanza rasmi nchini, jijini mbeya mh Sugu anaonekana kumtesa bi Tulia kwa kumfanya awe mtumwa.

Pichani anaonekana Tulia akifanya kazi za ukibarua wa ujenzi wa nyumba ili mradi kujitafutia umaarufu kwa kuwavutia wana mbeya.

Pamoja na hayo yote bado wana mbeya tuna mwambia kuwa hata akubeba zege bado haitatubadilisha msimamo wa mapenzi yetu kwa mh Sugu.
IMG_20200624_145311.jpeg
 
Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Maigizo kwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom