Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuota tu, Tulia mwenyewe keshaingia upepo, hajiamini.Acha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi
Kabla ya kura.....mashetani mmeanza kujianikaAcha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi
Chitambala mwenyewe alimshinda kwa ujanjaujanja, Mb Sugu atafuta kazi nyingineAcha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi
Nakushauri kagombee Rungwe, mziki wa Mbeya mjini ni mnene kwako.
Wamama wenzio wa mbeya mioyo yao iko chadema, video hii iwe kama alert kwako.
Kama umecoment ukiwa ndotoni nakubaliana na wewe maana kwenye hualisia amna kitu kama hicho!Acha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi
Hakuna ukoo wa Mbilinyi mbeya, Mbilinyi Ni ukoo wa kikoloni uliokuja kutawala kikoloni watu wa mbeya mjiniAcha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi
Mwache akale nao ubwabwa kwa kuwadanganya kwamba nae hula kwa mama ntilie. Hajui kwamba Sugu hulala nao msibani waki ota moto na kucheza karata.Nakushauri kagombee Rungwe, mziki wa Mbeya mjini ni mnene kwako.
Wamama wenzio wa mbeya mioyo yao iko chadema, video hii iwe kama alert kwako.
Hivi unaweza ukapewa ubunge wa kuteuliwa kwa term mbili mfululizo.!?Tulia Ackson hata ubalozi wa nyumba 10 hachukui mbeya. Namshauri asubiri tu kupewa ubunge wa kuteuliwa.
😂😂😂😂😂Hivi sasa yuko must hapa na H. polepole hzi n kampeni tu za Rasharasha
Ila bado jimbo hili halipati kamwe
Angaikeni tu mwishoni mtataga wenyewe!Hakuna ukoo wa Mbilinyi mbeya, Mbilinyi Ni ukoo wa kikoloni uliokuja kutawala kikoloni watu wa mbeya mjini
Hakuna kwenye makabila yote ya wanambeya ukoo unaitwa Mbilinyi
Mkoloni Joseph Mbilinyi Sugu lazima afumgishwe virago .Tulia Ni ukoo wa wanambeya.
Mkoloni Sugu lazima sio hiari afumgishwe virago.Mbeya mjini sio koloni la watu wa kuja
Ackson ni ukoo wa mabeberuHakuna ukoo wa Mbilinyi mbeya, Mbilinyi Ni ukoo wa kikoloni uliokuja kutawala kikoloni watu wa mbeya mjini
Hakuna kwenye makabila yote ya wanambeya ukoo unaitwa Mbilinyi
Mkoloni Joseph Mbilinyi Sugu lazima afumgishwe virago .Tulia Ni ukoo wa wanambeya.
Mkoloni Sugu lazima sio hiari afumgishwe virago.Mbeya mjini sio koloni la watu wa kuja
Endeleeni kumdanganya mwenzenu, ataondoka na kabundu mkononi.Acha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi