Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia bado unayo nafasi na muda wa kubadili Jimbo la kugombea

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia bado unayo nafasi na muda wa kubadili Jimbo la kugombea

HUYU MAMA ANAPOTEZA MUDA MBEYA..NA HATA AKILAZIMISHA KUTANGAZWA ATAKUWA ONE TERM MP KWANI MWAKA 2025 HATAKUWA NA WA KUMTANGAZA ...BORA AENDE TUKUYU KWAO ATAKUA NA UHAKIKA WA KUWA MBUNGE MUDA MREFU KIDOGO
 
Acha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi
Hakuna ukoo wa Mbilinyi mbeya, Mbilinyi Ni ukoo wa kikoloni uliokuja kutawala kikoloni watu wa mbeya mjini

Hakuna kwenye makabila yote ya wanambeya ukoo unaitwa Mbilinyi

Mkoloni Joseph Mbilinyi Sugu lazima afumgishwe virago .Tulia Ni ukoo wa wanambeya.

Mkoloni Sugu lazima sio hiari afumgishwe virago.Mbeya mjini sio koloni la watu wa kuja
 
Nakushauri kagombee Rungwe, mziki wa Mbeya mjini ni mnene kwako.

Wamama wenzio wa mbeya mioyo yao iko chadema, video hii iwe kama alert kwako.

Mwache akale nao ubwabwa kwa kuwadanganya kwamba nae hula kwa mama ntilie. Hajui kwamba Sugu hulala nao msibani waki ota moto na kucheza karata.
 
Hakuna ukoo wa Mbilinyi mbeya, Mbilinyi Ni ukoo wa kikoloni uliokuja kutawala kikoloni watu wa mbeya mjini

Hakuna kwenye makabila yote ya wanambeya ukoo unaitwa Mbilinyi

Mkoloni Joseph Mbilinyi Sugu lazima afumgishwe virago .Tulia Ni ukoo wa wanambeya.

Mkoloni Sugu lazima sio hiari afumgishwe virago.Mbeya mjini sio koloni la watu wa kuja
Angaikeni tu mwishoni mtataga wenyewe!
 
Hakuna ukoo wa Mbilinyi mbeya, Mbilinyi Ni ukoo wa kikoloni uliokuja kutawala kikoloni watu wa mbeya mjini

Hakuna kwenye makabila yote ya wanambeya ukoo unaitwa Mbilinyi

Mkoloni Joseph Mbilinyi Sugu lazima afumgishwe virago .Tulia Ni ukoo wa wanambeya.

Mkoloni Sugu lazima sio hiari afumgishwe virago.Mbeya mjini sio koloni la watu wa kuja
Ackson ni ukoo wa mabeberu
 
Back
Top Bottom