SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mbeya siyo Kongwa au Mtera ujue, kule wanajitambua.Acha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya siyo Kongwa au Mtera ujue, kule wanajitambua.Acha utani tulia anamgalagaza sugu saa 12asubuhi
Hivi unaweza ukapewa ubunge wa kuteuliwa kwa term mbili mfululizo.!?
Hata mimi nashauri akagombee jimbo mojawapo la Rungwe kwao huko anaweza kuwa mbunge tena wa muda mrefu kama akina Ndugai. Asivutike na mbeya mjini kisa yupo mbunge wa upinzani, wala asiogope majimbo ya Rungwe kwao kwa sababu kuna wabunge wa CCM huko ndo ubunge kwake utanoga. Mbeya mjini ni pagumu kwa sababu watu wa pale wameshaelimika hata wamachinga mbeya mjini ni wajanja sio sawa na wakulima wa huko Rungwe. Ubunge wa kutegemea kudhurumu matokeo kwa ubabe sio mzuri kama ule wa kupigiwa kura na wanavijiji wa majimbo ya Rungwe. Mbeya mjini ni pagumu sana kwa CCM wakati huu.HUYU MAMA ANAPOTEZA MUDA MBEYA..NA HATA AKILAZIMISHA KUTANGAZWA ATAKUWA ONE TERM MP KWANI MWAKA 2025 HATAKUWA NA WA KUMTANGAZA ...BORA AENDE TUKUYU KWAO ATAKUA NA UHAKIKA WA KUWA MBUNGE MUDA MREFU KIDOGO
😂😂😂😂😂😂Nchi hii kuna watu wanateuliwa kila kukicha, hakuna kufuata utaratibu wala kanuni.
Kwani vituo vinafunguliwa saa ngapi? Hizo kura za saa 12 ni zipi?Acha utani tulia anamgalagaza Sugu saa 12asubuhi
Inawezekana nadhani, a case of prof. Makame MbalawaHivi unaweza ukapewa ubunge wa kuteuliwa kwa term mbili mfululizo.!?
Mkuu naona umelewa ndo unatype Nani amekwambia Dodoma ndo shamba la Bibi jiheshimuAkagombee Dodoma kwa Wagogo
Ndoto za mchana hizo. Nenda field kajionee hali halisiAcha utani tulia anamgalagaza Sugu saa 12asubuhi
Kwenye Jimbo la ndugaiAkagombee Dodoma kwa Wagogo
Akale viwavi jeshiKwenye Jimbo la ndugai
Ukabila unaingia kwa Kasi...na majitu fulani fulani..hii dhambi hiiiii!!Hakuna ukoo wa Mbilinyi mbeya, Mbilinyi Ni ukoo wa kikoloni uliokuja kutawala kikoloni watu wa mbeya mjini
Hakuna kwenye makabila yote ya wanambeya ukoo unaitwa Mbilinyi
Mkoloni Joseph Mbilinyi Sugu lazima afumgishwe virago .Tulia Ni ukoo wa wanambeya.
Mkoloni Sugu lazima sio hiari afumgishwe virago.Mbeya mjini sio koloni la watu wa kuja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endeleeni kumdanganya mwenzenu, ataondoka na kabundu mkononi.
Tulia hata akipata kura 100 ashukuru
Itategemea mkuu ameamkaje.Tulia Ackson hata ubalozi wa nyumba 10 hachukui Mbeya. Namshauri asubiri tu kupewa Ubunge wa kuteuliwa.
Tulia anaonekana kiongozi mzuri ila asidanganyike na wanaotaka kumtupa shimoni Mbeya , akienda huko Tukuyu au Chunya atadumu kwenye uongozi kama Mama Anne Makinda ......najua kuna wanaofaidika na pesa yake kumshawishi agombee Mbeya mjini wakijua hawezi kushinda labda aibe kura au ubabe .....hatafurahia kuona damu inamwagika ili yeye atangazwe na hata ikiwa hivyo ...atakaa hiyo miaka mitano tu !Hata mimi nashauri akagombee jimbo mojawapo la Rungwe kwao huko anaweza kuwa mbunge tena wa muda mrefu kama akina Ndugai. Asivutike na mbeya mjini kisa yupo mbunge wa upinzani, wala asiogope majimbo ya Rungwe kwao kwa sababu kuna wabunge wa CCM huko ndo ubunge kwake utanoga. Mbeya mjini ni pagumu kwa sababu watu wa pale wameshaelimika hata wamachinga mbeya mjini ni wajanja sio sawa na wakulima wa huko Rungwe. Ubunge wa kutegemea kudhurumu matokeo kwa ubabe sio mzuri kama ule wa kupigiwa kura na wanavijiji wa majimbo ya Rungwe. Mbeya mjini ni pagumu sana kwa CCM wakati huu.