Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia bado unayo nafasi na muda wa kubadili Jimbo la kugombea

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia bado unayo nafasi na muda wa kubadili Jimbo la kugombea

Hakuna ukoo wa Mbilinyi mbeya, Mbilinyi Ni ukoo wa kikoloni uliokuja kutawala kikoloni watu wa mbeya mjini

Hakuna kwenye makabila yote ya wanambeya ukoo unaitwa Mbilinyi

Mkoloni Joseph Mbilinyi Sugu lazima afumgishwe virago .Tulia Ni ukoo wa wanambeya.

Mkoloni Sugu lazima sio hiari afumgishwe virago.Mbeya mjini sio koloni la watu wa kuja
Fcm mkiishiwa mnahamia kwenye ukabila
 
Mbeya mjini ishagawanywa, na Tulia Ackson atagombea jimbo jipya.
 
Endeleeni kumdanganya mwenzenu, ataondoka na kabundu mkononi.
Hakuna cha kubadili jimbo.
Hano hano bene.
Huyo aludi akacheze mziki na kugombana na madem wake.

Sugu alikuwa na heshima isiyostahili nikama tundu lisu , msigwa,lema,nawale wadada wawili!
Hao hata kwa dawa hawashindi.

Wakishinda basi ccm nitawadharau sn.
Pesa ipo.
Hoja zipo
Matokeo yapo....kwanini ccm isishinde?
 
Back
Top Bottom