Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia bado unayo nafasi na muda wa kubadili Jimbo la kugombea

Fcm mkiishiwa mnahamia kwenye ukabila
 
Mbeya mjini ishagawanywa, na Tulia Ackson atagombea jimbo jipya.
 
Endeleeni kumdanganya mwenzenu, ataondoka na kabundu mkononi.
Hakuna cha kubadili jimbo.
Hano hano bene.
Huyo aludi akacheze mziki na kugombana na madem wake.

Sugu alikuwa na heshima isiyostahili nikama tundu lisu , msigwa,lema,nawale wadada wawili!
Hao hata kwa dawa hawashindi.

Wakishinda basi ccm nitawadharau sn.
Pesa ipo.
Hoja zipo
Matokeo yapo....kwanini ccm isishinde?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…