Dkt. Tulia hafai, ni zao la watesi wa upinzani na wapenda haki , amani na maendeleo, nalisema wazi

Dkt. Tulia hafai, ni zao la watesi wa upinzani na wapenda haki , amani na maendeleo, nalisema wazi

Kale kabibi hovyo kabisa. Kanaweza kakachukua form na kakapitishwa.
Kwa kuua separation of power aliyofanikiwa kuifanya leo, SAMIA ata dictate nani awe kibaraka wake kama spika!
 
Wote ni watesi wetu na kila mpenda haki, demokrasia na maendeleo. Ni zao la watesi wetu na hivyo hafai. Ni zao la Magufuli na sijui alimuokota wapi. Hafai hafai hafai!

Nani anafaa????
 
Back
Top Bottom