Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mama hawezi kumpa nafasi. Nadhani Mussa Hassan Zungu anakamata kitiWote ni watesi wetu na kila mpenda haki, demokrasia na maendeleo. Ni zao la watesi wetu na hivyo hafai. Ni zao la Magufuli na sijui alimuokota wapi. Hafai hafai hafai!