Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Hapa ccm wanaogopa wakiwatoa chadema inaweza kugoma kupeleka majina mengine. then wakakosa pesa za EU.
 

Tindo ww ni muumini wa siasa za lisu hahaha siasa za amsha amsha

Siasa za kuparula au sio
 
Hakuna Jambo litatokea na wale watakaa mpaka 2025 me nakwambia

Mlisema magu kafa, mara ndugai katoka mara Baraza kuu wale wapo Tu

Sio muda wote wa kudindia serikali
hata wakitaka wawape na mlima kilimanjaro kama zawadi na wakae huko bungeni milele au wapewe vyumba walalane watajijua wenyewe POINT HAPA NI KWAMBA HAO SIYO WANACHAMA WA CHADEMA tusilazimishane uduwanzi
 
Tindo ww ni muumini wa siasa za lisu hahaha siasa za amsha amsha

Siasa za kuparula au sio

Sina muda wa siasa za kusujudia mtu, bali nataka siasa za haki na uwajibikaji fullstop.
 
Hii reasoning yako ni ya ajabu sana.... hakuna tofauti na kusema niliiba ili nikamtibu mama yangu. Haramu ni haramu, kama CHADEMA walivunja sheria kutopeleka majina ya viti maalum, walipaswa kushitakiwa.
 
Hata wa 2025 itakuwa biggest enough is enough haha

2025 watu wanaojielewa hawatajitokeza kupiga kura, labda kufanyike mabadiliko ya kweli ya katiba na tume huru ya uchaguzi. Kinyume na hapo uchaguzi utakuwa na wapiga kura wachache kupita maelezo. Mungu akituweka hai tutakuwa hapa kushusha idadi ya wapiga kura, tayari kwa kushawishi watu watumie njia mbadala ya kupata viongozi wawatakao.
 

Hakuna katiba wala tume mpya

Havitakuja hivyo vitu never
 
Sasa ww ndugu yangu ni mnazi wa chadema

Yap as long as CDM wanasimamia siasa nizitakazo, wakianza haya mambo ya Mbowe ya siasa za kujikomba siko huko.
 
Yap as long as CDM wanasimamia siasa nizitakazo, wakianza haya mambo ya Mbowe ya siasa za kujikomba siko huko.

Mbowe sasa ndio kabeba maono so ni mwendo wa mikono nyuma Tu
 
Tulia ukilala unasali kwa roho na kweli? Hujajifunza tu ya Job? Cheo ni dhamana na WAKATI SI MILELE!
Yuko wapi Job leo hii
Yuko wapi Sabaya
Yuko wapi Bashite....
Yako wapi mafirauni yote yaliyotamba kwa nyakati zao?
Yaani hadi mungu kakinyima tako.

Sent from my SM-A037G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…