hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Tutamkataa wazi wazi na hataamini macho yake. Vuta subira ndio utajua hujui.
Hahaha haya bwana ngoja tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutamkataa wazi wazi na hataamini macho yake. Vuta subira ndio utajua hujui.
1. Wabunge wa CUF nao walienda Mahakamani?Iweje wabunge wa CUF walipovuliwa uanachama wao, papo hapo, wakafukuzwa na ubunge wao, kwa kuwa Bunge lilieleza wazi kuwa haliwezi kuendelea na wabunge wasiotokana na chama chochote cha siasa!
Faida ya kujua kusoma na kuandika ndiyo hii sasa.Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge
Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria
So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum
Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
Faida ya kujua kusoma na kuandika ndiyo hii sasa.
Je ikionekana wamefukuzwa kihalali hizi Siku watakazoingia bungeni Hadi uamuzi huoni Kodi yetu itakua imeenda bure Kwa malipo yao
Mpuuzi huyo.Kwenda mahakamani ni jambo moja,sawa.Je,mahakama imeshasikikiza na kumpa jibu kwamba wasiondolewe bungeni?Au huo ujingaujinga aliousomea ndiyo umemtuma tu afanye hivyo?Bogus!MIMI KAZI YANGU NI MOJA TU - SPIKA TULIA AKSON
Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Tulia Ackson Tulia Ackson amezungumza na wanaHabari kuhusu uamuzi wa kuwafukuza Bungeni Wabunge 19 wa CHADEMA Halima Mdee na wenzake. Amesema yeye anasubiri Maamuzi ya Mahakama.
View attachment 2227166
Watu kuhoji matumizi ya kodi zao si upumbavu kama unavyotaka kutuaminisha.Hii nchi imejaa wapumbavu wengi z sana!
Ulitaka raisi akae hotel ya uswahilini huko new York?
Halafu nyie washamba mnateseka sana for nothing. Hapa Tanzania tu kuna hotel zina bei kubwa kuliko hiyo. Kuna ubaya gani?
Na wakati huu ni mkakati wa kudhoofisha CHADEMA na kuwapa nguvu Covid19, CCM bado inaendelea na mikakati.Wakati ule ulikuwa mkakati wa kumzoofisha seif Shariff Hammad na kumpa nguvu Prof.Lipumba
Na wameanza kwa kushangilia,vicheko,kugonga meza,kugonga mikono ya kujipongeza na hata kurukaruka kule bungeni.Na wakati huu ni mkakati wa kudhoofisha CHADEMA na kuwapa nguvu Covid19, CCM bado inaendelea na mikakati.
Hili la "mkakati wa kudhoofisha Seif Sharif Hamad na kumpa nguvu Prof Lipumba" hakuna supporter wa CCM aliyekuwa akilisema wakati ule lakini sasa wanalisema, hivyo huko 'mbele ya safari' hata hili la hao Covid19 watafunguka na kusema ukweli.
Kuna jambo zuri sana limetokea kuhusu COVID19.Na wakati huu ni mkakati wa kudhoofisha CHADEMA na kuwapa nguvu Covid19, CCM bado inaendelea na mikakati.
Hili la "mkakati wa kudhoofisha Seif Sharif Hamad na kumpa nguvu Prof Lipumba" hakuna supporter wa CCM aliyekuwa akilisema wakati ule lakini sasa wanalisema, hivyo huko 'mbele ya safari' hata hili la hao Covid19 watafunguka na kusema ukweli.
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge
Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria
So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum
Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
Dah....Profesa....Hilo Somo linamuhusu na mwenyekiti wetu? Au double standards zinaendelea? 🤣🤣🤣🤣🤭Tulia ukilala unasali kwa roho na kweli? Hujajifunza tu ya Job? Cheo ni dhamana na WAKATI SI MILELE!
Yuko wapi Job leo hii
Yuko wapi Sabaya
Yuko wapi Bashite....
Yako wapi mafirauni yote yaliyotamba kwa nyakati zao?
Kwani wasipokuwepo bungeni kesi yao ya kupinga kuvuliwa uwanachama haitakuwa na nguvu?Hoja ya Spika ipo kisheria
Kama yupo anayeamini kuwa Spika amekiuka Sheria ni vema aje na nukuu ya vifungu vya sheria