Dkt. Tulia: Nyanda za Juu tumechoka kuwa washangiliaji na sisi tunataka treni ya umeme kama 'Wenzetu'

Tanga - Moshi - Arusha comrade Polepole aliwapelekea treni!
 
Hata sisi mtwara tunataka treni ya umeme.
Huyu naibu ni [emoji706] kipindi cha mwendazake hakuongea haya..kutwa kushadadia chato...leo kiko wapi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeshaletewa meli!
hahahaaa hiyo meli cjui kama ina viwango vya kutembea kwenye ziwa hilo sababu ni juzi kimepigwa mawimbi kikalala chali pale matema.ziwa nyasa linahitaji meli zenye ustahimilivu sababu hilo ziwa lina mawimbi makubwa sana.na barabara ya kitai,ruanda,paradiso,ndongosi hadi lituhi je?
 
Ndiyo maana Msukuma anawadharau sana wasomi wa CCM, wako kiboya zaidi.
 
hahahahaaaa na nyasa pia tunataka.huku kwetu ruvuma naona tunachezewa madini yetu yananufaisha wengine tu.tuna ziwa lkn serikali haiwekezi kwenye hilo ziwa hata maji ya kunywa tunakosa.
Wasalimie kingelikiti mkuu...
 
Mwendazake alikuwa mtu wake wa karibu, alishindwa nini kumwambia hayo wakati anafanya Chato
 
Ndiyo maana Msukuma anawadharau sana wasomi wa CCM, wako kiboya zaidi.
Hayati Mwl. Nyerere alisema kuna watu tabia yao ni kudai tu, wanadai, wanadai hata bila ku reason, ni kudai na kudai hata bila kuangalia resources kama zinakidhi hayo wanayodai.

Sasa huyu tulidhani angekuwa mhubiri na mwelimishaji kwa wananchi kujifunza kuwa na subira, lakini ndiye huyo!!!
 
As long as kuna treni inatosha kwa kuwa matatizo ya Mbeya siyo kuchelewa kufika Dar au Moro bali ni miundombinu ya ndani ya Jiji.

Dada Tulia amekosea PRIORITY ya Mbeya kwa vile siyo mwana Mbeya na HAKUCHAGULIWA na wana Mbeya. Bali alichaguliwa na Mwendazake.

Usijute naye Mwendazake na huyu alikuwa ana .....
 
kwa hiyo resources ziko kwa ajili ya mikoa fulani na mingine hakuna resources.hiyohiyo keki ndogo igawanywe kwa usawa.mamikoa mingine ni mizigo tu lkn inatengenezwa vizuri why not kusini mikoa ambayo ina kila aina ya rasilimali isitengenezwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…