johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
AhsanteNa unga mkono, na kizuri wanayo reli ya Tazara, ni kuibadili tu ili iwe hiyo ya umeme n.k. tatizo sasa hivi haitumiki kikamilifu ili kuleta tija, waanze na hilo
Tanga - Moshi - Arusha comrade Polepole aliwapelekea treni!Bora hata wangeililia watu wa kutoka Tanga, Kilimanjaro na Arusha! Ila siyo Nyanda za Juu Kusini! Maana hao wamejengewa treni ya kisasa kabisa ya TAZARA! Lakini wameshindwa kuishawishi Serikali kuiboresha ili iwe na tija.
Leo hii ukisafiri na treni ya TAZARA, utashuhudia tu magofu ya majengo kwenye stesheni zake, na huduma mbovu! Huku abiria na mizigo ikiwa ni ya kutosha tu.
Kuelekea wapi, dar?Mmeshaletewa meli!
Afadhali ya Sauli!Mbeya NewForce golden deer zatosha.
Mtaunganisha treni ya umeme Mbeya!Kuelekea wapi, dar?
Population, economy, literacy level, social services.Amezungumza kweli mbeya kuitwa jiji sijafahamu walitumia vigezo gani kimiundombinu bado sana.
Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Naye kama ana PhD 🤣 💄PhD ukiwa nayo pia uwe na mwenza wa kukushauri
hahahaaa hiyo meli cjui kama ina viwango vya kutembea kwenye ziwa hilo sababu ni juzi kimepigwa mawimbi kikalala chali pale matema.ziwa nyasa linahitaji meli zenye ustahimilivu sababu hilo ziwa lina mawimbi makubwa sana.na barabara ya kitai,ruanda,paradiso,ndongosi hadi lituhi je?Mmeshaletewa meli!
Iende mkongo, ligera, lusewa mpaka magazine.... hahahahahaNa sisi huku Namtumbo tunataka treni ya umeme pia.
🖐️Naye kama ana PhD 🤣 💄
Ndiyo maana Msukuma anawadharau sana wasomi wa CCM, wako kiboya zaidi.Mimi ni mwanakanda ya nyanda za juu kusini, lakini naona huyu dogo naye hamnazo, kumbe kuwa na PhD hakumaanishi una akili, diplomasia, uzalendo na uelewa mpana, miongoni mwa maeneo yaliyonemeka huko mapema hapa nchini ni Nyanda za juu kusini, walipata TANZAM na TAZARA, Kanda ya Magharibi na Ziwa walikuwa na reli ya kati tu barabara za vumbi kwa muda mrefu, sasa leo hawa wengine wanapelekewa sgr hata kabla haijaisha na yeye tulia anataka... "aibu sana"
Wasalimie kingelikiti mkuu...hahahahaaaa na nyasa pia tunataka.huku kwetu ruvuma naona tunachezewa madini yetu yananufaisha wengine tu.tuna ziwa lkn serikali haiwekezi kwenye hilo ziwa hata maji ya kunywa tunakosa.
Mwendazake alikuwa mtu wake wa karibu, alishindwa nini kumwambia hayo wakati anafanya ChatoKadhalika Dr Tulia amelalamikia Jiji la Mbeya kutopewa hadhi na Huduma stahiki kama ilivyo katika majiji mengine na badala yake Mbeya imekuwa kama Halmashauri.
Tulia amesema miundombinu ya Mbeya ni mibovu sana na miaka yote wamekuwa wakipewa bajeti ndogo isiyokidhi chochote.
Dr. Tulia alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi.
Hayati Mwl. Nyerere alisema kuna watu tabia yao ni kudai tu, wanadai, wanadai hata bila ku reason, ni kudai na kudai hata bila kuangalia resources kama zinakidhi hayo wanayodai.Ndiyo maana Msukuma anawadharau sana wasomi wa CCM, wako kiboya zaidi.
As long as kuna treni inatosha kwa kuwa matatizo ya Mbeya siyo kuchelewa kufika Dar au Moro bali ni miundombinu ya ndani ya Jiji.
Mbunge wa Mbeya Mjini Dr. Tulia amemtaka Waziri wa Ujenzi kuangalia namna ya kuiwezesha TAZARA kuwa na treni ya umeme.
Dr. Tulia amesema Tanzania ni moja na Wananchi wa pande zote wanahitaji maendeleo hivyo Kanda ya Nyanda za Juu Jusini wamechoka kuwa washangiliaji.
Kadhalika Dr Tulia amelalamikia Jiji la Mbeya kutopewa hadhi na Huduma stahiki kama ilivyo katika majiji mengine na badala yake Mbeya imekuwa kama Halmashauri.
Tulia amesema miundombinu ya Mbeya ni mibovu sana na miaka yote wamekuwa wakipewa bajeti ndogo isiyokidhi chochote.
Dr. Tulia alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi.
Source: Bungeni
kwa hiyo resources ziko kwa ajili ya mikoa fulani na mingine hakuna resources.hiyohiyo keki ndogo igawanywe kwa usawa.mamikoa mingine ni mizigo tu lkn inatengenezwa vizuri why not kusini mikoa ambayo ina kila aina ya rasilimali isitengenezwe.Hayati Mwl. Nyerere alisema kuna watu tabia yao ni kudai tu, wanadai, wanadai hata bila ku reason, ni kudai na kudai hata bila kuangalia resources kama zinakidhi hayo wanayodai.
Sasa huyu tulidhani angekuwa mhubiri na mwelimishaji kwa wananchi kujifunza kuwa na subira, lakini ndiye huyo!!!
Ile ni treni kuukuu na isiyo endana na hadhi ya watu wa Kaskazini.Tanga - Moshi - Arusha comrade Polepole aliwapelekea treni!