Dkt. Tulia unavuna ulichopanda usiwalaumu Mawaziri

Leo unawafokea mawaziri kwa sababu hawakutafuti tena ili uwasaidie kumbana Mpina bungeni asiwasumbue na kuumbua udhaifu wao na upigaji wao wa fedha za umma kwa sababu mpina hayuko bungeni.
 
Mpina ni wale wale wanaoishi na maumivu ya JPM kutokuwepo katika nafasi ya urais muda huu, hana ubora huo unaozungumzwa kwenye uzi huu.

Ni wale wale kundi la Ngudai wakiamini katika sera za hayati, wanashindwa kuuona ukweli kwamba kila nafsi ipo hapa duniani kwa muda maalum na sio zaidi.
 
Leo sasa bila kujua ndio utaona faida ya wabunge aina ya Mpina ambao wanaibua tuhuma nzito na mawaziri wanakimbilia kwako kuomba msaada wa kumdhibiti bungeni ili wapone sasa leo fursa hiyo umeikosa.
 
Kila mmoja anajua kuwa hili bunge la machawa linaloongozwa na sppika chawa mnafik, halina maana yoyorte. Ni vikao vya kwenda kugawana posho. Sasa kama wazir ana kkao kingine cha kugawana posho, si anakuwa na uhuru wa kuamua leo akachukue posho kwenye kikao kipi?
 
Hivi kumbe Kuna bunge?Mimi niliacha kufuatilia huo mkusanyiko tangu Tulia azuie mjadala ambao ungejadili Hali ya utekaji nchini Kwa madai yake mwenyewe kuwa hakuna utekaji na wanaotekwa wanatekwa na wake zao kwa kuwaficha ndani ya nyumba.
 
Who mandated you to go Russia?

Mbunge wa Iraq
Yule muhuni aliuliza swali gumu baadae nikamfatilia nikakumbuka hawa Wairaq mmoja wapo alimpiga na kiatu Bush kwenye maswali na majibu na waandishi wa habari..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…