Anfaal,
Mimi kipindi hicho nilikua na miaka kumi! tumemaliza tu kusherehekea miaka kumi ya uhuru kwa michezo halaiki,
shule zetu, Kisarawe (siku hizi dar sec), Lumumba, Gerezani na Uhuru Girls tulicheza Gobogobo, it was nice!
hii issue ilitikisa nchi sana na kabla haija poa ikaingia ile soo ya Karume ndio ikawa noma kabisaa!
Ushauri wangu japo hautapendeza ni kwamba wewe kwa kuwa kwa kiasi fulani mko karibu na Bwana Mwamwindi kuhusiana na issue hii, mshirikiane muandike kitabu! kama kikiandikwa vizuri kama hiyo simulizi yako, kitauzika mpaka mtashangaa! na mapato yataenda kwa familia ya marehemu. on the other hand its one of the classic stories of our country ikihusisha vijiji vya ujamaa kama one of the strategies of the young Tanzania just ten years after uhuru hivyo inawapa uwanja mpana zaidi wa mambo ya kuandika ila issue ya Mwamwindi iwe the leeding one.
Ni ushauri tu. best wishes.
Mimi kipindi hicho nilikua na miaka kumi! tumemaliza tu kusherehekea miaka kumi ya uhuru kwa michezo halaiki,
shule zetu, Kisarawe (siku hizi dar sec), Lumumba, Gerezani na Uhuru Girls tulicheza Gobogobo, it was nice!
hii issue ilitikisa nchi sana na kabla haija poa ikaingia ile soo ya Karume ndio ikawa noma kabisaa!
Ushauri wangu japo hautapendeza ni kwamba wewe kwa kuwa kwa kiasi fulani mko karibu na Bwana Mwamwindi kuhusiana na issue hii, mshirikiane muandike kitabu! kama kikiandikwa vizuri kama hiyo simulizi yako, kitauzika mpaka mtashangaa! na mapato yataenda kwa familia ya marehemu. on the other hand its one of the classic stories of our country ikihusisha vijiji vya ujamaa kama one of the strategies of the young Tanzania just ten years after uhuru hivyo inawapa uwanja mpana zaidi wa mambo ya kuandika ila issue ya Mwamwindi iwe the leeding one.
Ni ushauri tu. best wishes.