Kenya 2022 Dkt. William Ruto: Sitaki miaka 10 ya Urais, nipeni mitano. Kazi yangu ikiwavutia niongezeni mitano tena

Kenya 2022 General Election
Jamaa muongo. Akishashinda tu lazima term ya pili ashinde tena kwa kuiba kura.Kwani Mwai Kibaki ilikuwaje ?Ananikumbusha Magufuli kutwa kulalamika uraisi mgumu na aombewe. Cha kushangaza 2020 akagombea tena. Ni vilaza tu ndo watamwamini Ruto kwa ayasemayo.
 
Na akimaliza muda wake asizidishe hata dakika kukaa ikulu
 
Watu gani wanaomkubali Ruto?
 
Anatapatapa tuu kwa kutumia kila aina ya uongo..

Wakenya sio specimen wa kufanyia majaribio ya Urais.
 
nenda kwa list ya matajiri wa Kenya ndio utajua nani ndio mwizi!!
Ruto is even a Saint!
Nenda ukafanye research Railas Wealth![emoji33]Utastuka!
Deepstate,Dinasty!wote out[emoji51]

Ruto Tosha[emoji108][emoji91][emoji91]
My friend iam a Kenyan too Lakini watu kama.nyie mmelishwa upupu wa huyo muongo nambari moja Ruto.
Mpo mpo tu,kichwa chako chepesi mno.
Na hii ndio hulka ya vijana wa Leo walio wengi pamoja na umasikini na wafia dini.
Religion being the opium of the poor masses.
 
Mzee kakaba shingo, so far ngoma bado ni mbichi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…