M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
You sound very stupid, go back to your village maybe you'll find some goons to scare.Unavuka mipaka na ID feki huku ukiwa uchi.Utajuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You sound very stupid, go back to your village maybe you'll find some goons to scare.Unavuka mipaka na ID feki huku ukiwa uchi.Utajuta.
kifo anapanga Mungu sio ccm unaweza kuanza kufa wewe hata bila kukosoa serikali ukamuacha slaa itunze msg hiiHuyu Babu,akitest Tena mitambo,atakwenda kufia Keko au segerea
fala mmoja huyo asikutishe angekuwa na uwezo huo angekufata kimyakimya ni mapimbi tu wa uvccmSio mara ya kwanza kutishiwa kuwa ID zetu ziko uchi, mtu mwenye info hizo ni kutoka jikoni huko JF, sasa kama ni hivyo ni bora kufungua platform nyingine ambayo members watakuwa hawana mashaka.
mbona na wewe umejificha kwenye id unamtisha mwenzioUnajiona mjanja kujificha kwenye hiyo keyboard?
Huyu mtu mzima kumuamini lazima uwe na upungufu wa akili, it's very possible aliwekwa ndani kimkakati ili aaminike kuwa ni mpinza wa dola kiukweli na si pandikizi. Bora hata Lowassa alivyorudi CCM(to save his business empire) hakuwa akiwasagia kunguni CHADEMA lakini huyo Slaa aliichafua mno na kipindi hicho nakumbuka Lissu alidai kuwa mpango wa kumvuta Lowassa CHADEMA Slaa alishiriki kikamilifu ila mambo yalibadilika baada ya Bibi Mushumbusi kubaini kuwa Slaa hatapeperusha bendera kuugombea uraia, bibi ailiuhitaji sana u-first lady japo yeye ni kada wa CCM.Huyu mzee tangia lile tukio la 2015 kuhama chama dkk za jion, na ushawishi wote ule sijawah kumuelewa tena ,,,, Badae akalamba ubaloz kwa JPM, badae karudi, mara anachukizwa na wanaosema FAM sio gaidi, then mara tena anaonekana yupo against government, anakamatwa,,, kwa kifupi haeleweki ! Hivi lile lijanamke alilioa uzeeni alienda nalo Canada bado wapo ama ! Tumepitia mengi sana kama nchi
K*ma mmoja hivi, wamezoea kuwatisha walugaluga wenzao huko vijijini kwao.fal
fala mmoja huyo asikutishe angekuwa na uwezo huo angekufata kimyakimya ni mapimbi tu wa uvccm
Aje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake.
Ili uitwe u!ushi lazima ujibiwe kwa hoja maridhawa zenye ushahidi toka kwenye upande ulio zushiwa.Aaah wapi
Kamudomo sasa katakua makini
Uzushi sio mzuri
Aje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake.
Upi, wa UYUDA?Dr.Slaa moto ni ule ule🔥
Kwani Mzee hatakiwi kupatiwa akili ikiwa hana?!!!Serikali imechoka sanaa badala ya kudili na uchumi wanadili na Mzee kama huyu
You can say that againIli uitwe u!ushi lazima ujibiwe kwa hoja maridhawa zenye ushahidi toka kwenye upande ulio zushiwa.
Vinginevyo wewe mwenye kuita uzushi bila kuja na FACTS zozote juu ya ulichokiita UZUSHI Ni chawa kama MWIJAKU TU
Keshaufyata huyo mnafiki hawezi kufanya loloteDr.Slaa moto ni ule ule🔥
Somo limeingia mpaka kwenye mifupa yakeila ujumbe wake mmeupata na pengine alijua watamkamata na hawatamfanya kitu
Awamu hii minyumbu mnapata tabu sana. Poleni kwakweliWalidhani kwa kumuweka Dr. Slaa korokoroni wangemsaidia mtu wao ashinde uenyekiti wa Chadema!! Wameambulia patupu😳🤪
Ni habari gani alitoaNia ilikuwa kumtesa tu hakuna kesi hapo, iliwauma kwa vile habari zile zilikuwa za ukweli kabisa.
Poleni sana nyumbu. Vp ile no reform no election inaendelea?CCM ni chama cha kishamba sana!
Hivi kwani hii katiba ya sasa inaruhusu huu unyanyasaji kweli?Yaani acha tu! Wanatumia vyombo vya dola na nguvu za kiutendaji kunyanyasa tu
Kuna kautaratibu kao, kwanza, wanakamata Ijumaa ili mtu alale hadi Jumatatu.
Pili, kama DPP hana nia ya kuendelea na kesi alimkamata kwa kosa gani?
Ndio maana tunasema tukae chini tutengeneze Katiba itakaondoa huu ujinga na upuuzi.
Kwa nchi za wenzetu hapa Dr angefungua kesi ya kunyang'anywa Uhuru wake na angelipwa.
Banana Republic!