Hutishwi tu unaambiwa ukweli.Unapotukana utajuta.Njoo na hoja.Hoja kwa hoja kutishana kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutishwi tu unaambiwa ukweli.Unapotukana utajuta.Njoo na hoja.Hoja kwa hoja kutishana kwa nini?
Bila shaka malezi yako yana mushkelTehetehe...... Naona kasahau mkanda wa suruali gerezani, kidevu kimechakaa kama msagishaji wa mashine ya unga
Huyu mzee mimi simuelewagi tangu 2015 mpaka leo haijulikani anataka niniMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC
Hana mke. Ni Padre huyo. Yule mchepuko alishaishia CANADALeo mkewe atamkoma usiku yale mambo
Ana usongo nayo hadi basi
No reforms no electionMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC
Wenzako walisema hivyo hivyo.Kenge wewe utanifanya nini?!
Karibu kwenye Glock 19 Temeke.Wenzako walisema hivyo hivyo.
It is a just a matter of time.Karibu kwenye Glock 19 Temeke.
Endelea kuwepo mtandaoni unanirahisishia kazi.Utaaga wewe.
Sema waliomtumia naamini wamekwenda na maji.Nia ilikuwa kumtesa tu hakuna kesi hapo, iliwauma kwa vile habari zile zilikuwa za ukweli kabisa.
Mambo ya hovyo sana, eti sina haja ya kuendelea na hii kesi.
Halafu mtu anaachiwa hakuna fidia wala chochote, sheria za hovyo kabisa.
Tofauti na wewe mimi sina ID 50 mimi utaendelea kuniona JF X na Club House karibu sana kwangu.Endelea kuwepo mtandaoni unanirahisishia kazi.
Roho ya usaliti haijawahi kumuacha mtu salamaaMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC
UCUMI UKO VIZURI SANA NDIYO MAANA HAKUNA SHIDA TUNA DEAL NA WAHUNI KJAMA HAWASerikali imechoka sanaa badala ya kudili na uchumi wanadili na Mzee kama huyu
Hapo hapo unataka watu wawe wakali kwa serikali ili kuiondoa madarakani.hapo hapo unataka watu waonewe ili washike adabu watulie.Ameshika adabu sasa!! Ameionja joto ya jiwe!