Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwa jpm mambo yalianza hivi hivi.....mara vile mara hivi.Mungu atalipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jpm mambo yalianza hivi hivi.....mara vile mara hivi.Mungu atalipa
Awe msafi! Kwani katenda kosa gani au alishitakiwa na akashinda kesi! Hakifanya kosa lolote lile walipenda kumtesa tu bila sababu.Aje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake.
hivi ulishawahi kusikiliza clip za Lisu? ni zile zinawakera sana ila wakitafuta alipovunja sheria hawaoni. ndicho ninachomanaisha.Wangemkamata tu wakiamua. Hawana fomula ya kukamata, wakijisikia tu utadakwa.
Waliozaliwa wakiwa na kiu ya haki hiwa haifi hadi pale wanapokufa waoAje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake.
SahihiWaliozaliwa wakiwa na kiu ya haki hiwa haifi hadi pale wanapokufa wao
Hoja kwa hoja kutishana kwa nini?Unavuka mipaka na ID feki huku ukiwa uchi.Utajuta.
Kuwa makini Mkuu ndio hao hao jamaa wa. 🔪Hoja kwa hoja kutishana kwa nini?
Sarakasi zake zilianzia kwenye kudondosha upadre na kuingia kwa Rose Kamili, baadae Mchumba wake Mshumbusi, baadaye ubalozi nkHuyu mzee tangia lile tukio la 2015 kuhama chama dkk za jion, na ushawishi wote ule sijawah kumuelewa tena ,,,, Badae akalamba ubaloz kwa JPM, badae karudi, mara anachukizwa na wanaosema FAM sio gaidi,
Samia ni katili zaidi ya MagufuliNia ilikuwa kumtesa tu hakuna kesi hapo, iliwauma kwa vile habari zile zilikuwa za ukweli kabisa.
Hivi hawezai kuwafungulia mashitaka DPP kwa unyanyasaji wakati wakijua hakuna kesi? Anaweza akaluta anajipatia tubilioni twake kadhaa kwa ujinga huu uliofanywa na DPPMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Tuambieni kama JAMII FORUM imekuwa tawi la CCM tujiondoe mara moja.Kuwa makini Mkuu ndio hao hao jamaa wa. 🔪
Sana tu.Samia ni katili zaidi ya Magufuli
Hivi hakunaga namna individuals waliohusika kumkamata funguliwa mashtaka kwa kumnyanyasa Muhusika kwa namna yyt ile incl kusababidha kumnyima haki yale ya kuwa uraiani? Nadhani ingefaa kuwalumbusha kuwa hakuna aliye juu ya sheria kuwakunbudha kuwa si kila jambo wanalotumwa wanakubali kubali tu kijinga!Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC
Hahaha......Mkuu kwani ni mara ya kwanza kukutana na vitisho humu?Tuambieni kama JAMII FORUM imekuwa tawi la CCM tujiondoe mara moja.
Tufungue Platform zetu.
Jamhuri ndio inamkamata, inamahtaki na inaamua kumwachia. Wewe ungetaka kuishtaki jamhuri kwenye mahakama gani? Hii hii ya jamhuri?Hivi hakunaga namna Jamhuri ikafunguliwa mashtaka kwa kumnyanyasa Muhusika kwa namna yyt ile incl kumnyima haki yale ya kuwa uraiani? Nadhani ingefaa kuwalumbusha kuwa hakuna aliye juu ya sheria!!
Ayaache tena !!!! sasa ayapeleke wapi, mbona babu yako kijijini bado anayo yamefika mpaka kifuani.Inabidi ayaache .. 😅😅
Chama gani vile?Aje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake.
Sio mara ya kwanza kutishiwa kuwa ID zetu ziko uchi, mtu mwenye info hizo ni kutoka jikoni huko JF, sasa kama ni hivyo ni bora kufungua platform nyingine ambayo members watakuwa hawana mashaka.Hahaha......Mkuu kwani ni mara ya kwanza kukutana na vitisho humu?