Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ndoto niliota jana kwamba huyu mzee kuanzia ishu ya kuropoka mpaka kukamatwa na kuwekwa lupango bila dhamana ilikuwa project ya kimkakati kwamba mzee aonekane yuko kinyume na bi-mkubwa ili Chadema waingie mtego wa kumuamini kwa mara nyingine wampokee na kumpa kiti ili akamalizie "kazi maalum" then akimaliza anapita hiviMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, Nipashe
Sahihi kabisa atulie amalizie maisha yake yaliyobaki Kwa amaniAje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake.
CCMChama kipi?
Unajiona mjanja kujificha kwenye hiyo keyboard?Na wewe umekula Vitumbua Tanga?!
SawaWewe hadi leo hujui kwanini alikamatwa na hujui kwanini anaachiwa kwa dhamana na sababu umepewa hapo. It means angeendelea kukaa gerezani kama mahabusu maana hamna haja yeye kuhudhuria mahakama while mambo yake bado.
100%✓Kuna ndoto niliota jana kwamba huyu mzee kuanzia ishu ya kuropoka mpaka kukamatwa na kuwekwa lupango bila dhamana ilikuwa project ya kimkakati kwamba mzee aonekane yuko kinyume na bi-mkubwa ili Chadema waingie mtego wa kumuamini kwa mara nyingine wampokee na kumpa kiti ili akamalizie "kazi maalum" then akimaliza anapita hivi
Mpaka Chadema waje kustuka kwamba waliingizwa chaka na ccm inakuwa too late!
Ni ndoto tu lakini .
Unatamani wewe ndiye ungekuwa mkewe!!!Leo mkewe atamkoma usiku yale mambo
Ana usongo nayo hadi basi
Kinaongozwa na mashetani tupuCCM ni chama cha kishamba sana!
Incase kafia mahabusu na alikuwa hana hatia ingekuwaje?Mambo ya hovyo sana, eti sina haja ya kuendelea na hii kesi.
Halafu mtu anaachiwa hakuna fidia wala chochote, sheria za hovyo kabisa.
Povu la nini?!Unajiona mjanja kujificha kwenye hiyo keyboard?
Yaani tuna watu ni wa ajabu kweli, hawaelewi vitu vidogo kama hivyo.Gereza la wote, nawe jiandae siku yako yaweza kuwa kesho
Unavuka mipaka na ID feki huku ukiwa uchi.Utajuta.Povu la nini?!
Alikuwa pandikizi na baadaye akaja kujidhihirisha kwa kuwa chawa wa Mwendakuzimu.Chadema
Mungu Mwema 🙏Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC
🤭Serikali imechoka sanaa badala ya kudili na uchumi wanadili na Mzee kama huyu