Man filandu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2023
- 412
- 402
😀😀😀 Nimecheka Kweli, ana midevu kama Babu yako wa KijijiniMadevu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 Nimecheka Kweli, ana midevu kama Babu yako wa KijijiniMadevu
Kwamba miezi miwili jela ndio mara yake ya awali kukaa?Ameshika adabu sasa!! Ameionja joto ya jiwe!
Aaah wapiDr.Slaa moto ni ule ule🔥
Freedom of SpeechAaah wapi
Kamudomo sasa katakua makini
Uzushi sio mzuri
Hapana.Dr.Slaa moto ni ule ule🔥
Moto ni ule ule wawapi?..mnataka mzee wawatu afe uku nyie mkiwa nyuma ya keybord za simu zumjaza ujinga.Dr.Slaa moto ni ule ule🔥
Nadhani una tatizo kwenye ubongo wako. Soma hiyo 👇Amepewa dhamana boss. Hajashinda kesi. Mbona unaropoka hivi, mbele za watu. Hapa ulijiona unajua sana wakati unaandika😂😂😂😂.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Huwa ni raha sana kushabikia uonevu hadi pale utakapoangukia upande wako.Tehetehe...... Naona kasahau mkanda wa suruali gerezani, kidevu kimechakaa kama msagishaji wa mashine ya unga
Ni selikali pumbavu ya samia bushiri badala nguvu yote waelekeze kwenye uchumi wao wanaelekeza kwenye mambo ya kishenzi na kianithiSerikali imechoka sanaa badala ya kudili na uchumi wanadili na Mzee kama huyu
Cha CCM.Aje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake.
Kupata vichekesho kama hivi andika napita KWENDA no 15777Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, Nipashe
Karibu Sauti ya Watanzania huko Club House utamsikia Mzee Slaa anavyounguruma.Moto ni ule ule wawapi?..mnataka mzee wawatu afe uku nyie mkiwa nyuma ya keybord za simu zumjaza ujinga.
Slaa alikuwa chawa wa Jiwe, chawa mzee.Walidhani kwa kumuweka Dr. Slaa korokoroni wangemsaidia mtu wao ashinde uenyekiti wa Chadema!! Wameambulia patupu😳🤪
Huo ulikuwa ni Uonevu tu.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, Nipashe