Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wanatesa wazee.
Jamii inayotesa wazee, ni jamii muflisi.
Jamii inayotesa wazee, ni jamii muflisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo umefurahi sio?Tehetehe...... Naona kasahau mkanda wa suruali gerezani, kidevu kimechakaa kama msagishaji wa mashine ya unga
imagine Nyerere na wazee wenzake wangekuwa na akili kama hizi.Aje atulie, ale pesa zake alizotengeneza aache harakati, awe kiongozi msafi na salama kwa chama chake.
ChademaChama kipi?
Kwahio kwanini walimshikilia? Upumbavu mwingine Unakera Sana.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Ndio baadhi ya Vijana wa kitanzania walipofikia, inafikirishaimagine Nyerere na wazee wenzake wangekuwa na akili kama hizi.
Amepewa dhamana boss. Hajashinda kesi. Mbona unaropoka hivi, mbele za watu. Hapa ulijiona unajua sana wakati unaandika😂😂😂😂.Je watamlipa muda waliompetezea? Hii nchi inaendeshwa na wasio na uwezo. Yani unamkamata mtu halafu baadae unasema DPP hana nia yakuendelea na kesi. 🚮
HakikaNia ilikuwa kumtesa tu hakuna kesi hapo, iliwauma kwa vile habari zile zilikuwa za ukweli kabisa.
Chagua tafsiri utakayoKwahiyo umefurahi sio?
Wewe hadi leo hujui kwanini alikamatwa na hujui kwanini anaachiwa kwa dhamana na sababu umepewa hapo. It means angeendelea kukaa gerezani kama mahabusu maana hamna haja yeye kuhudhuria mahakama while mambo yake bado.Kwahio kwanini walimshikilia? Upumbavu mwingine Unakera Sana.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
View attachment 3251757
Taarifa inasema kaachiwa huru,DPP hana nia ya kuendelea na kesi,wewe unakomenti kua KAPEWA DHAMANA,namna gani hapa?Amepewa dhamana boss. Hajashinda kesi. Mbona unaropoka hivi, mbele za watu. Hapa ulijiona unajua sana wakati unaandika😂😂😂😂.
Kabisa. Sasa kama wapiga miluzi wake hawajui hata maana ya haki za kiraiya zilizopo kwenye katiba? Unategemea nini? Kipo kibushuti kimoja humu kinakwambia viongozi wote wa upinzani ni vibaka!CCM ni chama cha kishamba sana!
Malipo ni hapa hapaChagua tafsiri utakayo
Na wewe umekula Vitumbua Tanga?!Tehetehe...... Naona kasahau mkanda wa suruali gerezani, kidevu kimechakaa kama msagishaji wa mashine ya unga
Your time is loading utakwenda tu na.wewe huko shimo la tewaUkiambiwa tii sheria bila shuruti mwangalie Slaa
Maisha yangu yote toka nimfahamu Slaa sijawahi.muona ana ndevu kama za Osama bin Laden
Yaani hapo wanafanana kama mapacha na Osama bin Laden
Chezea kuwekwa ndani wewe. Tii sheria bila shurti
Ndio nakueleza ametoka kwa dhamana. Taarifa hiyo hiyo uliyosoma. Umeelezwa mahakama haina haja kuendelea na kesi. Kuna eneo umeandikiwa kashinda kesi?Taarifa inasema kaachiwa huru,DPP hana nia ya kuendelea na kesi,wewe unakomenti kua KAPEWA DHAMANA,namna gani hapa?
Kwani wewe dada umevunja ungo lini ?Ameshika adabu sasa!! Ameionja joto ya jiwe!
Walikuwa na deal ya kuuza Bagamoyo Port, wameuza sasa wamemtoaIlisemekana atatoka baada ya uchaguzi