Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Ukweli ni upi? Na kiza Bisgye wa UGANDA Je kagisa waya upi? Mbowe aliitwa GAIDI na baadae kufutiwa mashitaka kwa kugusa waya up? Mzee kibao naye aligusa waya???You can say that again
But slaa alizusha bahati mbaya aligusa live wire
Sasa hivi atatulia
Hao wote waigizaji.Hivi kwani hii katiba ya sasa inaruhusu huu unyanyasaji kweli?
Si kwamba watawala wanakiuka tu taratibu zilizopo kwa makusudi?
Usilinganishe mbowe au kiza na kitu cha ajabuUkweli ni upi? Na kiza Bisgye wa UGANDA Je kagisa waya upi? Mbowe aliitwa GAIDI na baadae kufutiwa mashitaka kwa kugusa waya up? Mzee kibao naye aligusa waya???
Tuache uchawa
Ngoja tuone na akiunguruma tu nakutagKeshaufyata huyo mnafiki hawezi kufanya lolote
Hebu tulia we mchepuko wa Mbowe, Slaa pamoja na usnitch wake hana uoga huo.Ameshika adabu sasa!! Ameionja joto ya jiwe!
Acha vitisho vya kijinga. Hujaitwa kwenye mada zisizokuhusu.Endelea kuwepo mtandaoni unanirahisishia kazi.
Dk. Slaa ana moto gani wa kutisha mtu? Kama ana moto mbona kipindi cha Jiwe aliufyata? Akakubali hadi kumtumikia Jiwe kwa namna alivyotaka Jiwe?Dr.Slaa moto ni ule ule🔥
Nasikia kule jela watu hugeuzwa madadaNa atawasha moto hadi mkojoe washenzi nyie
Dr.Slaa moto ni ule ule🔥
Nasikia kule jela watu hugeuzwa madada
Walidhani kwa kumuweka Dr. Slaa korokoroni wangemsaidia mtu wao ashinde uenyekiti wa Chadema!! Wameambulia patupu😳🤪
Dr.Slaa anarejea rasmi CHADEMA ✌️🔥Kuna manyumbu yasiyo mwelewa Slaa muwe mnayakumbusha kumbusha ujuha wao uliotamalaki!
kubabaika na mzee anaeteswa na laana ni ushirikina gentleman 🐒Nanye Go, Allen Kilewella, Tlaatlaah, erythrocyte, imhotep, na Ile timu kamili:
View attachment 3252603
Mnakwitwa huku!
kubabaika na mzee anaeteswa na laana ni ushirikina gentleman 🐒
Hujaambiwa hana kesi, kesi ipo ila hakuna haja ya kuendelea nayo kwa sasa, itappfika muda hata kesho watesi wake wakitaka kuendelea nayo anarudi rumande. Ila sasa hawapo na mahakama imeona impe tu muda akaendelee na shughuli yake.Sasa alishikwa kwanini kama hana kesi!! Yaani mpaka mahakama ni machawa
Hii nchi inahitaji mabadiliko makubwa yaani serikali inaamua kumuweka mtu ndani kwa miezi miwili bila kosa halafu inakuachia bila fidia yoyote. Hii sio sawa . Watanzania bado hatujapata uhuru. Tunacho ambiwa ni uhuru sio uhuru ni hiari ya kutawaliwa kikolone na watu weusi wezetu.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia ukurasa wa X (zamani Twitter).
Leo February 27,2025, Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema amewasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .
Wakili Mrema ameieleza Mahakama kuwa DPP ameamua kutoaendelea na shauri hilo kwa mujibu wa kifungu cha 91 (1) cha mwenendo wa makosa ya jinai.
Source: Millard Ayo, TBC