Pre GE2025 Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwanasiasa mkongwe, Dk. Wilbroad Slaa. Dk Slaa ameachiwa huru kwakuwa jamhuri haina nia ya kuendelea na kesi hiyo hivyo amepata dhamana yuko huru.🥺🥺🥺😒😒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…