Pre GE2025 Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi

Pre GE2025 Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukiambiwa tii sheria bila shuruti mwangalie Slaa

Maisha yangu yote toka nimfahamu Slaa sijawahi.muona ana ndevu kama za Osama bin Laden

Yaani hapo wanafanana kama mapacha na Osama bin Laden

Chezea kuwekwa ndani wewe. Tii sheria bila shurti
Hamna cha sheria hapo, ni uonevu na matumizi mabaya ya madaraka.

Vv
 
Back
Top Bottom