hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Sipo hapa na siandiki hapa kwa ajili ya kutafuta uteuzi.mimi napigania Taifa langu
Hata slaa anapigania bandari ya inchi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipo hapa na siandiki hapa kwa ajili ya kutafuta uteuzi.mimi napigania Taifa langu
Umeona utofauti wako na huyo dogo wa mbea? Wewe unasehemu angalau unalambalamba mwenzako bado anatafuta mpe connectionToa upumbavu wako hapa,watu wapuuzi kama nyie tafuteni Nchiya kufanyia upuuzi wenu.
Kuwa na hadhi ya ubalozi hapa Tanzania nayo ni sifa?!Ndugu zangu watanzania,
Ni dhahiri kwa matendo ,mwenendo ,kauli na matamshi mbalimbali ambayo yamekuwa yakitolewa na kutoka katika kinywa na mdomo wa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuitwa Balozi,hastahili kuendelea kupewa heshima hiyo,hastahili kuendelea kutambulikana kwa jina hilo,hastahili kuendelea kushikilia na kuitwa kwa jina hilo.amepoteza sifa kwa kuwa kwa sasa amekuwa Balozi wa machafuko,vurugu ,ubaguzi na mapinduzi haramu.
Sasa yupo mstari wa mbele kutaka kuipindua serikali yetu iliyopo kihalali madarakani,yupo kazini na kibaruani kuchochea na wakati wote amekuwa akichochea,kuhamasisha , kushawishi na kupandikiza mbegu ya chuki kwa watanzania ili waichukie serikali yao na waipindue na kuiondosha madarakani.
Tangia Dr Slaa Asitaafishwe ubalozi amekuwa na chuki kubwa sana kwa mh Rais wetu mama samia,ameonyesha waziwazi namna alivyo na chuki, hasira na kumchukia sana Rais samia,Amekuwa ni mtu ambaye moyo wake unatamani angekuwa na uwezo au nafasi basi angeweza kumuondoa madarakani hata leo hii kwa njia ya mapinduzi. Kibaya zaidi ni kuwa chuki zake zimekuwa hazina msingi wala mashiko zaidi tu ya kuwa na fikira za kibaguzi na chuki binafsi.
Kutokana na chuki hiyo binafsi iliyojaa katika kifua chake dhidi ya Rais wetu imepelekea muda wote kuwa mwenye maneno ya uchochezi ,chuki na hatarishi kwa usalama wa Taifa letu. Ni kwa mantiki hiyo sioni sababu ya kuendelea kutambulikana na kupewa heshima ya ubalozi,ni kwa maana hiyo Dr Slaa hatakiwi kuwa katika orodha ya mabalozi wastaafu na kupewa heshima ya kibalozi.Hastahili kwa sababu yupo katika vita ya kulipasua Taifa letu,vita ya kutaka kuipindua serikali yetu,vita ya kutaka kuleta machafuko nchini,vita ya kutaka serikali yetu iondolewe madarakani kwa njia haramu.
Kwa sasa ni Adui wa usalama wetu wa Taifa,ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa,Ni kirusi kwa umoja wa kitaifa ,Ni sumu kwa ustawi wa Taifa letu. Anataka kuliangamiza Taifa letu,Anataka kuwasha moto nchini,anataka kuliteketeza Taifa letu.Najiuliza kwanini Dr Slaa Tangia awali alionyesha kuwa na chuki na mh Rais? Nini Tatizo? Nani yupo nyuma yake? Anatumiwa na akina nani? Nani wafadhili wake? Nani wanampa nguvu? Kwanini iwe sasa? Kwanini amfanyie haya Rais samia? Kwanini awaze hata kuipindua serikali? Kwanini kwanini kwanini sasa? Nini shida ambayo sisi mamilioni ya watanzania hatuioni isipokuwa yeye tu Dr Slaa.?
Hatupo tayari na kamwe na katu hatutamuunga mkono Dr Slaa,tunamfahamu sana Dr Slaa,huwa ni mtu mwenye chuki sana unapokuwa utawala unaongozwa na watu fulani,ni mbaguzi sana Dkt Slaa na mtu mwenye chuki kubwa sana.Ndio maana watanzania baada ya kurejea historia yake wameamua kumpuuza na kutomuunga mkono na kumuacha aendelee kutapatapa.Ni aibu kwa mtu wa umri wake kushindwa kutumia busara ,hekima na ustaarabu katika kauli ,matendo na matamko yake mbele ya camera au jamii au majukwaani. Ni aibu kubwa na mfano mbaya sana katika jamii.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Alinunuliwa na nani? Kwa shilingi ngapi?Mlimnunua mkampa na ubalozi leo hii mmemaliza matumizi nae mnampa kesi na wengne ndo km nyie mnataka ata heshima yake mlompa kwa mchongo mnataka iondoa
Ccm ipo sku dunia duala hii
Mchochezi na mtu anayetaka kufanya mapinduzi haramu dhidi ya serikali halali iliyopo madarakani anapaswa kupingwa na kukemewa na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letuSijui umri wako, ila nadhan umeanza kufatilia siasa ukiwa mtu mzima Sana
Mpaka serikali inampa ubalozi wa ulaya huyo Dr slaa alikuwa anaongea zaidi ya aliyoyaongea this time
Na kupewa cheo au status na serikali haikunyimi na wala haikufungi kutoa maoni yako
Sio kila mtu anaepewa cheo flan anakuwa ni mramba miguu wa serikali kama wewe
Inampunguzia nini au kumwongezea nini?,Ndugu zangu watanzania,
Ni dhahiri kwa matendo ,mwenendo ,kauli na matamshi mbalimbali ambayo yamekuwa yakitolewa na kutoka katika kinywa na mdomo wa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuitwa Balozi,hastahili kuendelea kupewa heshima hiyo,hastahili kuendelea kutambulikana kwa jina hilo,hastahili kuendelea kushikilia na kuitwa kwa jina hilo.amepoteza sifa kwa kuwa kwa sasa amekuwa Balozi wa machafuko,vurugu ,ubaguzi na mapinduzi haramu.
Sasa yupo mstari wa mbele kutaka kuipindua serikali yetu iliyopo kihalali madarakani,yupo kazini na kibaruani kuchochea na wakati wote amekuwa akichochea,kuhamasisha , kushawishi na kupandikiza mbegu ya chuki kwa watanzania ili waichukie serikali yao na waipindue na kuiondosha madarakani.
Tangia Dr Slaa Asitaafishwe ubalozi amekuwa na chuki kubwa sana kwa mh Rais wetu mama samia,ameonyesha waziwazi namna alivyo na chuki, hasira na kumchukia sana Rais samia,Amekuwa ni mtu ambaye moyo wake unatamani angekuwa na uwezo au nafasi basi angeweza kumuondoa madarakani hata leo hii kwa njia ya mapinduzi. Kibaya zaidi ni kuwa chuki zake zimekuwa hazina msingi wala mashiko zaidi tu ya kuwa na fikira za kibaguzi na chuki binafsi.
Kutokana na chuki hiyo binafsi iliyojaa katika kifua chake dhidi ya Rais wetu imepelekea muda wote kuwa mwenye maneno ya uchochezi ,chuki na hatarishi kwa usalama wa Taifa letu. Ni kwa mantiki hiyo sioni sababu ya kuendelea kutambulikana na kupewa heshima ya ubalozi,ni kwa maana hiyo Dr Slaa hatakiwi kuwa katika orodha ya mabalozi wastaafu na kupewa heshima ya kibalozi.Hastahili kwa sababu yupo katika vita ya kulipasua Taifa letu,vita ya kutaka kuipindua serikali yetu,vita ya kutaka kuleta machafuko nchini,vita ya kutaka serikali yetu iondolewe madarakani kwa njia haramu.
Kwa sasa ni Adui wa usalama wetu wa Taifa,ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa,Ni kirusi kwa umoja wa kitaifa ,Ni sumu kwa ustawi wa Taifa letu. Anataka kuliangamiza Taifa letu,Anataka kuwasha moto nchini,anataka kuliteketeza Taifa letu.Najiuliza kwanini Dr Slaa Tangia awali alionyesha kuwa na chuki na mh Rais? Nini Tatizo? Nani yupo nyuma yake? Anatumiwa na akina nani? Nani wafadhili wake? Nani wanampa nguvu? Kwanini iwe sasa? Kwanini amfanyie haya Rais samia? Kwanini awaze hata kuipindua serikali? Kwanini kwanini kwanini sasa? Nini shida ambayo sisi mamilioni ya watanzania hatuioni isipokuwa yeye tu Dr Slaa.?
Hatupo tayari na kamwe na katu hatutamuunga mkono Dr Slaa,tunamfahamu sana Dr Slaa,huwa ni mtu mwenye chuki sana unapokuwa utawala unaongozwa na watu fulani,ni mbaguzi sana Dkt Slaa na mtu mwenye chuki kubwa sana.Ndio maana watanzania baada ya kurejea historia yake wameamua kumpuuza na kutomuunga mkono na kumuacha aendelee kutapatapa.Ni aibu kwa mtu wa umri wake kushindwa kutumia busara ,hekima na ustaarabu katika kauli ,matendo na matamko yake mbele ya camera au jamii au majukwaani. Ni aibu kubwa na mfano mbaya sana katika jamii.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Isomeke... Ndugu zangu uvccm ✔️Ndugu zangu watanzania,
Avuliwe ubalozi na anyongwe harakaNdugu zangu watanzania,
Ni dhahiri kwa matendo ,mwenendo ,kauli na matamshi mbalimbali ambayo yamekuwa yakitolewa na kutoka katika kinywa na mdomo wa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuitwa Balozi,hastahili kuendelea kupewa heshima hiyo,hastahili kuendelea kutambulikana kwa jina hilo,hastahili kuendelea kushikilia na kuitwa kwa jina hilo.amepoteza sifa kwa kuwa kwa sasa amekuwa Balozi wa machafuko,vurugu ,ubaguzi na mapinduzi haramu.
Sasa yupo mstari wa mbele kutaka kuipindua serikali yetu iliyopo kihalali madarakani,yupo kazini na kibaruani kuchochea na wakati wote amekuwa akichochea,kuhamasisha , kushawishi na kupandikiza mbegu ya chuki kwa watanzania ili waichukie serikali yao na waipindue na kuiondosha madarakani.
Tangia Dr Slaa Asitaafishwe ubalozi amekuwa na chuki kubwa sana kwa mh Rais wetu mama samia,ameonyesha waziwazi namna alivyo na chuki, hasira na kumchukia sana Rais samia,Amekuwa ni mtu ambaye moyo wake unatamani angekuwa na uwezo au nafasi basi angeweza kumuondoa madarakani hata leo hii kwa njia ya mapinduzi. Kibaya zaidi ni kuwa chuki zake zimekuwa hazina msingi wala mashiko zaidi tu ya kuwa na fikira za kibaguzi na chuki binafsi.
Kutokana na chuki hiyo binafsi iliyojaa katika kifua chake dhidi ya Rais wetu imepelekea muda wote kuwa mwenye maneno ya uchochezi ,chuki na hatarishi kwa usalama wa Taifa letu. Ni kwa mantiki hiyo sioni sababu ya kuendelea kutambulikana na kupewa heshima ya ubalozi,ni kwa maana hiyo Dr Slaa hatakiwi kuwa katika orodha ya mabalozi wastaafu na kupewa heshima ya kibalozi.Hastahili kwa sababu yupo katika vita ya kulipasua Taifa letu,vita ya kutaka kuipindua serikali yetu,vita ya kutaka kuleta machafuko nchini,vita ya kutaka serikali yetu iondolewe madarakani kwa njia haramu.
Kwa sasa ni Adui wa usalama wetu wa Taifa,ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa,Ni kirusi kwa umoja wa kitaifa ,Ni sumu kwa ustawi wa Taifa letu. Anataka kuliangamiza Taifa letu,Anataka kuwasha moto nchini,anataka kuliteketeza Taifa letu.Najiuliza kwanini Dr Slaa Tangia awali alionyesha kuwa na chuki na mh Rais? Nini Tatizo? Nani yupo nyuma yake? Anatumiwa na akina nani? Nani wafadhili wake? Nani wanampa nguvu? Kwanini iwe sasa? Kwanini amfanyie haya Rais samia? Kwanini awaze hata kuipindua serikali? Kwanini kwanini kwanini sasa? Nini shida ambayo sisi mamilioni ya watanzania hatuioni isipokuwa yeye tu Dr Slaa.?
Hatupo tayari na kamwe na katu hatutamuunga mkono Dr Slaa,tunamfahamu sana Dr Slaa,huwa ni mtu mwenye chuki sana unapokuwa utawala unaongozwa na watu fulani,ni mbaguzi sana Dkt Slaa na mtu mwenye chuki kubwa sana.Ndio maana watanzania baada ya kurejea historia yake wameamua kumpuuza na kutomuunga mkono na kumuacha aendelee kutapatapa.Ni aibu kwa mtu wa umri wake kushindwa kutumia busara ,hekima na ustaarabu katika kauli ,matendo na matamko yake mbele ya camera au jamii au majukwaani. Ni aibu kubwa na mfano mbaya sana katika jamii.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Anataka kuleta machafuko ili yeye akimbilie ulaya,.sasa acha akae ndani kwanza ajibu tuhuma zake zote.Slaa alitaka kutuharibia maridhiano yetu CHADEMA+VYAMA na Serikali Fala sana yule babu wacha awekwe store.
Mpuuzi huyo kwa hiyo anataka sisi tuangamie kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe? Fala sanaAnataka kuleta machafuko ili yeye akimbilie ulaya,.sasa acha akae ndani kwanza ajibu tuhuma zake zote.
Kama amechoka kuishi hapa nchini aondoke zake atuachie Taifa letu likiwa na kuendelea kuwa tulivu na lenye amaniMpuuzi huyo kwa hiyo anataka sisi tuangamie kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe? Fala sana
Mabalozi kwa desturi, wanabakia na title zao kwa maisha. Naona ht ww hkuacha kumuita Balozi, 😆🤪ingawaje umejaribu kumuita Balozi wa machafuko kwa lengo la kumchafua, bado ni Balozi. Hivi wanaojichafua ham waoni?Ndugu zangu watanzania,
Ni dhahiri kwa matendo ,mwenendo ,kauli na matamshi mbalimbali ambayo yamekuwa yakitolewa na kutoka katika kinywa na mdomo wa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuitwa Balozi,hastahili kuendelea kupewa heshima hiyo,hastahili kuendelea kutambulikana kwa jina hilo,hastahili kuendelea kushikilia na kuitwa kwa jina hilo.amepoteza sifa kwa kuwa kwa sasa amekuwa Balozi wa machafuko,vurugu ,ubaguzi na mapinduzi haramu.
Sasa yupo mstari wa mbele kutaka kuipindua serikali yetu iliyopo kihalali madarakani,yupo kazini na kibaruani kuchochea na wakati wote amekuwa akichochea,kuhamasisha , kushawishi na kupandikiza mbegu ya chuki kwa watanzania ili waichukie serikali yao na waipindue na kuiondosha madarakani.
Tangia Dr Slaa Asitaafishwe ubalozi amekuwa na chuki kubwa sana kwa mh Rais wetu mama samia,ameonyesha waziwazi namna alivyo na chuki, hasira na kumchukia sana Rais samia,Amekuwa ni mtu ambaye moyo wake unatamani angekuwa na uwezo au nafasi basi angeweza kumuondoa madarakani hata leo hii kwa njia ya mapinduzi. Kibaya zaidi ni kuwa chuki zake zimekuwa hazina msingi wala mashiko zaidi tu ya kuwa na fikira za kibaguzi na chuki binafsi.
Kutokana na chuki hiyo binafsi iliyojaa katika kifua chake dhidi ya Rais wetu imepelekea muda wote kuwa mwenye maneno ya uchochezi ,chuki na hatarishi kwa usalama wa Taifa letu. Ni kwa mantiki hiyo sioni sababu ya kuendelea kutambulikana na kupewa heshima ya ubalozi,ni kwa maana hiyo Dr Slaa hatakiwi kuwa katika orodha ya mabalozi wastaafu na kupewa heshima ya kibalozi.Hastahili kwa sababu yupo katika vita ya kulipasua Taifa letu,vita ya kutaka kuipindua serikali yetu,vita ya kutaka kuleta machafuko nchini,vita ya kutaka serikali yetu iondolewe madarakani kwa njia haramu.
Kwa sasa ni Adui wa usalama wetu wa Taifa,ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa,Ni kirusi kwa umoja wa kitaifa ,Ni sumu kwa ustawi wa Taifa letu. Anataka kuliangamiza Taifa letu,Anataka kuwasha moto nchini,anataka kuliteketeza Taifa letu.Najiuliza kwanini Dr Slaa Tangia awali alionyesha kuwa na chuki na mh Rais? Nini Tatizo? Nani yupo nyuma yake? Anatumiwa na akina nani? Nani wafadhili wake? Nani wanampa nguvu? Kwanini iwe sasa? Kwanini amfanyie haya Rais samia? Kwanini awaze hata kuipindua serikali? Kwanini kwanini kwanini sasa? Nini shida ambayo sisi mamilioni ya watanzania hatuioni isipokuwa yeye tu Dr Slaa.?
Hatupo tayari na kamwe na katu hatutamuunga mkono Dr Slaa,tunamfahamu sana Dr Slaa,huwa ni mtu mwenye chuki sana unapokuwa utawala unaongozwa na watu fulani,ni mbaguzi sana Dkt Slaa na mtu mwenye chuki kubwa sana.Ndio maana watanzania baada ya kurejea historia yake wameamua kumpuuza na kutomuunga mkono na kumuacha aendelee kutapatapa.Ni aibu kwa mtu wa umri wake kushindwa kutumia busara ,hekima na ustaarabu katika kauli ,matendo na matamko yake mbele ya camera au jamii au majukwaani. Ni aibu kubwa na mfano mbaya sana katika jamii.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Absolutely atuachie amani na upendo wetu WatanzaniaKama amechoka kuishi hapa nchini aondoke zake atuachie Taifa letu likiwa na kuendelea kuwa tulivu na lenye amani
Nani huyu mkuu?Hivi kuna wana JF ambao huwa wanasoma magazeti yako kweli!!??
Jitahidi usiwe baba kama baba yako.
......Ndugu zangu watanzania,
Ni dhahiri kwa matendo ,mwenendo ,kauli na matamshi mbalimbali ambayo yamekuwa yakitolewa na kutoka katika kinywa na mdomo wa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuitwa Balozi,hastahili kuendelea kupewa heshima hiyo,hastahili kuendelea kutambulikana kwa jina hilo,hastahili kuendelea kushikilia na kuitwa kwa jina hilo.amepoteza sifa kwa kuwa kwa sasa amekuwa Balozi wa machafuko,vurugu ,ubaguzi na mapinduzi haramu.
Sasa yupo mstari wa mbele kutaka kuipindua serikali yetu iliyopo kihalali madarakani,yupo kazini na kibaruani kuchochea na wakati wote amekuwa akichochea,kuhamasisha , kushawishi na kupandikiza mbegu ya chuki kwa watanzania ili waichukie serikali yao na waipindue na kuiondosha madarakani.
Tangia Dr Slaa Asitaafishwe ubalozi amekuwa na chuki kubwa sana kwa mh Rais wetu mama samia,ameonyesha waziwazi namna alivyo na chuki, hasira na kumchukia sana Rais samia,Amekuwa ni mtu ambaye moyo wake unatamani angekuwa na uwezo au nafasi basi angeweza kumuondoa madarakani hata leo hii kwa njia ya mapinduzi. Kibaya zaidi ni kuwa chuki zake zimekuwa hazina msingi wala mashiko zaidi tu ya kuwa na fikira za kibaguzi na chuki binafsi.
Kutokana na chuki hiyo binafsi iliyojaa katika kifua chake dhidi ya Rais wetu imepelekea muda wote kuwa mwenye maneno ya uchochezi ,chuki na hatarishi kwa usalama wa Taifa letu. Ni kwa mantiki hiyo sioni sababu ya kuendelea kutambulikana na kupewa heshima ya ubalozi,ni kwa maana hiyo Dr Slaa hatakiwi kuwa katika orodha ya mabalozi wastaafu na kupewa heshima ya kibalozi.Hastahili kwa sababu yupo katika vita ya kulipasua Taifa letu,vita ya kutaka kuipindua serikali yetu,vita ya kutaka kuleta machafuko nchini,vita ya kutaka serikali yetu iondolewe madarakani kwa njia haramu.
Kwa sasa ni Adui wa usalama wetu wa Taifa,ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa,Ni kirusi kwa umoja wa kitaifa ,Ni sumu kwa ustawi wa Taifa letu. Anataka kuliangamiza Taifa letu,Anataka kuwasha moto nchini,anataka kuliteketeza Taifa letu.Najiuliza kwanini Dr Slaa Tangia awali alionyesha kuwa na chuki na mh Rais? Nini Tatizo? Nani yupo nyuma yake? Anatumiwa na akina nani? Nani wafadhili wake? Nani wanampa nguvu? Kwanini iwe sasa? Kwanini amfanyie haya Rais samia? Kwanini awaze hata kuipindua serikali? Kwanini kwanini kwanini sasa? Nini shida ambayo sisi mamilioni ya watanzania hatuioni isipokuwa yeye tu Dr Slaa.?
Hatupo tayari na kamwe na katu hatutamuunga mkono Dr Slaa,tunamfahamu sana Dr Slaa,huwa ni mtu mwenye chuki sana unapokuwa utawala unaongozwa na watu fulani,ni mbaguzi sana Dkt Slaa na mtu mwenye chuki kubwa sana.Ndio maana watanzania baada ya kurejea historia yake wameamua kumpuuza na kutomuunga mkono na kumuacha aendelee kutapatapa.Ni aibu kwa mtu wa umri wake kushindwa kutumia busara ,hekima na ustaarabu katika kauli ,matendo na matamko yake mbele ya camera au jamii au majukwaani. Ni aibu kubwa na mfano mbaya sana katika jamii.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.