Nani kamtaja Membe hapa, we chizi nini?Membe hajanuka hadi Leo. Atanuka lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kamtaja Membe hapa, we chizi nini?Membe hajanuka hadi Leo. Atanuka lini?
Ajaribu aoneMkurugenzi wa uchaguzi katika Tume ya Uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.
Dkt. Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
Mkurugenzi wa uchaguzi katika Tume ya Uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.
Dkt. Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
Wamfute Lissu haraka maana anachafua nchi kwa kupanda mbegu ya chuki na matusi kwenye jamii
Majuha mataga mnapenda kukariri, waliotawanyika kati ya polisi na CHADEMA ni nani? Mabomu na risasi hazikufanya kazi?Mlianza kunukisha na Membe, Jana mkakinukisha na Lisu. Chakunuka kikagoma kunuka , mbu wakawatawanya softly.
Usipende kufikirishwa, kusingekuwa na kampeni dhidi ya aliyeko madarakani asingeyasema haya.Kwani amezungumzia watukanaji au wapinzani,,,, mbona tunajichanganya wenyewe
Polisi ndiyo walianza kuondoka vinginevyo ungempelekea shangazi yako ungeona kama asingekesha naye.Ahadi ya Lisu ni kukesha sasa mbona hajakesha?
PumbavuAhadi ya Lisu ni kukesha sasa mbona hajakesha?
Hivi huyu Pimbi ana akili timamu kweli . White paper inamhusu hajasoma yeye na bosi wake .Mkurugenzi wa uchaguzi katika Tume ya Uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.
Dkt. Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389