Uchaguzi 2020 Dkt. Wilson Mahera: Wagombea watakaotoa lugha za uchochezi na matusi watafutwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Wilson Mahera: Wagombea watakaotoa lugha za uchochezi na matusi watafutwa

Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389

Kwani Mkurugenzi wa NEC tena 'Mzanaki' Mwenzangu ( Mwetu kabisa ) ameoteshwa lini kuwa kuanzia sasa 'Matusi' yataanza Kuporomoshwa mno?
 
Alishatoa muongozo kuwa wagombea wazungumzeie tu baranara, huduma za afya, maji, elimu na mambo kama hayo! Hii nayo ni Ph. D! Very primitive! Uhuru kwanza. Mambo mengine yatafuata baada ya hapo.

Then Wafute vyama vingi
 
Mahera sasa anataka kupanda watu vichwani amejaribu siku saba akaona zimetiki na sasa anapanga kuongeza ila matokeo yake hayatakuwa mazuri hata kidogo
 
Madhara ya kumfuta Lissu au mgombea yeyote yanaweza yasionekane mara moja, na kuwadanganya WATU kuwa hali ni shwari!
... kwa masafa marefu tunapalilia 'Arab spring' yetu ambayo ni vigumu kuitabiri itakuwa lini ... mara baada ya uchaguzi au miaka kadhaa mbele?
MIMI SIJUI! 🤔🤔
😅
👊 ✌✌✌
NB: Global response could detonate the bomb earlier than our intelligence expect!
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
Wafutwe tu, pamoja na chama chao. Tuone mabeberu watapenyea wapi.
 
Mahera sasa anataka kupanda watu vichwani amejaribu siku saba akaona zimetiki na sasa anapanga kuongeza ila matokeo yake hayatakuwa mazuri hata kidogo
Mtafanya nini hata mkifungiwa mpaka 28 oct. Mwenye chama chake kakubali adhabu ya Lissu, wewe ni nani ambapo hata Ufipa huna kadi kazi yako kuchangia tu mwenzako akanywe faru John wake. Rubbish.
 
Waanze na yule aliosema mkimchagua mpinzani sileti maji huu niuchochozi na ubaguzi vyama vyote nivyawatanzania nimalizao ubaguzi hautakiwi
 
Ni kweli ni mgombea kama walivyo wengine, ila ukitaka kuuona upekee wake waulize Tume, CCM, Polisi, na wengineo ni nani anawasababisha wasilale kipindi hiki?
IMG-20201005-WA0032.jpg
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika Tume ya Uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dkt. Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Chanzo: Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389

Mkichagua wapnzani siwapi maendeleo.

hivi siyo vitisho?
 
Mtu atafutwa kweli acha tuu aendelee kuropoka na NEC wasifanye masihara mtu ambaye anachochea chuki si wa kumvumilia.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Haya wapinzani wameyataka wenyewe tulisema toka mwanzo hii haikuwa tume ya kusimamia huu uchaguzi lakini hawakujali sasa hii tume imegeuka mwiba mkali unawachoma.

Uchaguzi huu kama isingekuwa hii tume ccm ilikuwa inaishia hapa lkn kwa hisani ya hii tume ccm itapata tena "The new lease of life at least for the next five years".

Wapinzani wamefanya kosa kubwa sana ambalo litawagharimu vilivyo katika uchaguzi huu.
 
Back
Top Bottom