Kwani mahera ana nini. hiyo udoctor maandazi?Lissu ananini cha kumtisha Mahela mpaka amjue?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mahera ana nini. hiyo udoctor maandazi?Lissu ananini cha kumtisha Mahela mpaka amjue?
Huyu anatafuta bwana. Acha aendelee kuchezesha hilo domo lake.Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.
Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.
Source Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
Can the Court prosecute individuals who are not members of any government or armed group?😂😂 Wapinzani bwana.
Ni vigumu kwa hofu mliyonayo, lakini ungejitahidi kutulia ili uandike kwa mtiririko uweze kuelewekaPole yako, na kama mtafi
Endelea kujifariji ti ndugu ni haki yako.
Kama ni maumivu mtaendelea nayo mitano tena
Lakini yeye hajamtaja mtu bwashee!Huyu mahela, tofauti yake na punguani, kama ipo, ni kidogo sana. Ajaribu aone.
Ukada wake kwa ccm umemwondolea akili yote, amekuwa zuzu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu pimbi hajui maana ya upinzaniHuyu mtu ndie kaja kuidhalilisha kabisa hiyo ofisi, matamko yake ya hovyo hovyo anayotoa kila siku yanaboa, ina maana anataka kuwafundisha watu cha kuongea?
Aache kujipendekeza kuliko pitiliza kwa bosi wake, afanye kazi yake, na asidhani kuna mtu anatishika.
Kwa hiyo na wewe unapelekeshwa na hizi Hololoja za Mahera?Tundu Lisu ni mgombea tu kama alivyo Hashimu Rungwe!
Anachowazidi wanadamu wengi ni mdomo mkubwa unaotamka ujinga.Kwani mahera ana nini. hiyo udoctor maandazi?
Hatutakubali huo ujingaManeno yoyote yasiyomfurahisha Magufuli ni matusi!
Alikuwa rais wa Yugoslavia halafu Serbia.Slobodan Milosevic wa Bosnia alishitakiwa na hiyo mahakama.
Mahela kupitia kamati ya maadili kampiga pini Lissu.Kwani mahera ana nini. hiyo udoctor maandazi?
“We can easily forgive a child who is afraid of the dark; the real tragedy of life is when men are afraid of the light."Naye atafutwa na ICC
Baada ya mbowe ni Heche ndie mtu sahihi asiyeuzika.Sumaye alitumwa kuuwa chama matokeo yake kafa yeye kisiasaI wish mwenyekiti Wa chadema angekuwa Lema au Lisu,mbowe anatupeleka kimdebwedo sana .