Uchaguzi 2020 Dkt. Wilson Mahera: Wagombea watakaotoa lugha za uchochezi na matusi watafutwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Wilson Mahera: Wagombea watakaotoa lugha za uchochezi na matusi watafutwa

Tundu Lisu ni mgombea tu kama alivyo Hashimu Rungwe!
Hata yule anayewafokea wanatunduma kutowapelekea maji utafikiri hela anatoa Chato naye ni mgombea tu kama Mrema.

Tupigeni mwende ICC, hiyo ndio niguse unuke mshazoea kuua mnaachiwa
 
Mtaona aibu sana, nyie endeleeni na upuuzi wenu,
Nasikia tarime mlipiga watu na mapanga mtafutwa na hakuna sehemu mtaenda.
Yahya Jammeh alikuwa anajiona hawezi kuondoka madarakani. Mpigie simu umuulize yuko wapi now!
 
Yahya Jammeh alikuwa anajiona hawezi kuondoka madarakani. Mpigie simu umuulize yuko wapi now!
Katiba na Mfumo wa utawala wa Tz hauchochei kabisa hicho unachokiwaza.Amiri Jeshi mkuu,Mkuu wa majeshi,IGP,Jaji mkuu,Mwanasheria mkuu,Mawaziri,Wakuu wa mikoa na wilaya wote hao wako submissive kwa huyo unaetamani atolewe kwa njia hiyo unayo propose wewe. Na hiki ndo kinaifanya TZ iendelee kuwa nchi ya amani licha ya watu wenye mawazo Kama yako kuwepo.
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
....huyu jamaa ni kituko kweli kweli...
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389

Aanze na kumfuta jiwe. Kwani hajui kavunja kanuni ngapi hadi leo?
 
Naona tunapoelekea uvumilivu wa vyama vya siasa utakoma kwa huyu mkurugenzi, na asipokua makini atilipeleka taifa kubaya, wapenda hamani wa nchi hii ,tunaamini taifa ni muhim kuliko cheo au mtu yoyote,mkurugenzi tafadhali hatutaki matatizo katika nchi yetu, ni busara tu Kama kazi imekua ngum Basi jiuzuru
 
Huyu mtu ndie kaja kuidhalilisha kabisa hiyo ofisi, matamko yake ya hovyo hovyo anayotoa kila siku yanaboa, ina maana anataka kuwafundisha watu cha kuongea?

Aache kujipendekeza kuliko pitiliza kwa bosi wake, afanye kazi yake, na asidhani kuna mtu anatishika.
Matamko mabaya anayo Lissu,tatizo anajiona yeye kasoma kuwaliko watu wote Tanzania
 
Katiba na Mfumo wa utawala wa Tz hauchochei kabisa hicho unachokiwaza.Amiri Jeshi mkuu,Mkuu wa majeshi,IGP,Jaji mkuu,Mwanasheria mkuu,Mawaziri,Wakuu wa mikoa na wilaya wote hao wako submissive kwa huyo unaetamani atolewe kwa njia hiyo unayo propose wewe. Na hiki ndo kinaifanya TZ iendelee kuwa nchi ya amani licha ya watu wenye mawazo Kama yako kuwepo.
Hao wote uliowataja ni wanafiki sabau ya matumbo yao. Hakuna mwenye upendo wa dhati na Magufuli.Hakuna anyefurahia mauaji, kupotea watu, maiti kuzagaa coco beach, etc etc etc! hata kwa jahmeh ilikuwa hivyo hivyo, yalipoingia ajeshi ya ECOWAS feeling halisi za watu na wanajeshi zilikuwa wazi. kama unakumbuka vema, Mkuu wa majeshi alikataa kuwaua watu/kuliingiza jeshi katika siasa....... akatimka...

DAKAR (Reuters) - Gambia’s former authoritarian leader Yahya Jammeh was heading to exile in Equatorial Guinea with a stop in Guinea after he stepped down in the face of pressure from West African states to recognize his election defeat, the regional bloc ECOWAS said on Saturday.

ECOWAS sent 7,000 troops into Gambia on Thursday, but would halt operations while leaving some troops in the country to ensure security, Marcel de Souza, president of the ECOWAS commission, told a news conference in Dakar.
 
Kweli nimeamini kuna watu wanajutaaaa kumpitisha Lissu.Unawezaje kusema haya wakati mtu tunayetegemea kumuongeza mitano tena ameshatamka yasiyotamkika mara nyingi?Hivi kweli umfute JPM patakalika humu?
Maana yake kuna mtu anamlenga. Mungu atawaumbua tu.
 
Ndiyo shida ya Phd za kutafuta kuongeza kiwango cha mshahara.
Huyu alikuwa mjumbe wa nec akiwakilisha mkoa wa Mara.
Alivyokuwa Arusha alisaidia kununua madiwani.
Bora akaye kimya kuliko kuendelea kijivua nguo.
CCM wanadhani nchi hii mali yao.
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389
Aanze na magufuli alipomtaka "Sugu"amsugue amuulize alimaanisha nini
 
Wamfute lisu haraka maana anachafua nchi kwa kupanda mbegu ya chuki na matusi kwenye jamii

Jiwe alizoea ushindi wa mbeleko, kapigwa vitasa mpaka karudi garage. Saa hii mbeleko zake zinaangalia namna ya kumbeba mgombea wao maana hawezi tena kuendelea na pambano, na wanajua kabisa kwenye box la kura lazima boss wao atapata kura za kumfedhehesha. Hivyo namna pekee ni kujenga mazingira ya kumtoa mshindani anayemlambisha mchanga.

Wale matapeli waliompelekea tathmini kuwa atapita wakati wa kampeni akipunga maana kaua upinzani, warudishe hela kwa kumpotosha mzee wa kupita bila kupingwa.
 
Mkurugenzi wa uchaguzi katika tume ya uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi.

Dr Mahera amesema Tume yake haitavumilia wagombea waliopungukiwa maadili, heshima na ustaarabu.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1591389

Muulize amefikia wapi kumuadhibu mgombea anaetamka wazi kuwa hawezi peleka miradi ya maendeleo kwa wapinzani? Tena anayetoa maelekezo ya utekelezaji wa miradi kwenye kampeni? Bila kusahahu anatoa hela waziwazi kwenye kampeni?

Muulize pia amefikia wapi kushughulikia suala la kampeni za Majaliwa ambae alikuwa anafanya kampeni za Uraisi bila kuwepo kwa ratiba ya Tume inayomuhusu?

Alafu mwisho mwambie yeye ni potentialmtuhumiwa wa ICC hapo kuanzia mwezi November mwaka huu
 
Back
Top Bottom