Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo mambo mengi ya kwenye mapenzi hayahalalishi ulawiti. ukilawiti hata kama ni mkeo au mchumba au hata ukiokota malaya barabarani hapo ambaye anataka umlawiti, wee ukimlawiti sheria inasema ushitakiwe. na hiyo kusema kwenye mapenzi kuna mambo mengi maana yake na wewe huwa unalawiti, siku yako yaja. utakuwa nawanda tu.sijakataa na sijakubali, watajijua wenyewe.. binti alishasema walikuwa wapenzi kwenye mapenzi kuna mambo mengi
Milioni kumi ilikuja baada ya msala na itatumika kama ushahidi mahakamani, cha msingi umejiabisha kwenye familia yako, mkeo na wanao wanajua kuwa wewe ni mzee wa tope. Kazi umepoteza kwa usengerema wakoMilioni 10 alizotaka alipata, shida nini
Yeye si alitaka milioni 10 akapewa, kama alikuwa hataki si angekataa?
SAWA.Ameburuzwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Mwanza akikabiliwa na kosa moja la Ulawiti
Amepandishwa leo July 9 baada ya makelele mengi ya wadau kutaka haki itendeke
Bado haijajulikana kama ataswekwa Rumande au atapata dhamana.
====
Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza na kusomewa shitaka moja la kumwingilia kinyume na maumbile Tumsiime Ngemela (21) katika eneo la Rock City Mall jijini Mwanza.
Mshtakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022
Mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, Erick Maley, Waendesha mashtaka wa kesi hiyo ambao ni Wakili wa serikali Magreth Mwaseba na Martha Mtiti waliitaja kesi hiyo kuwa ni kesi namba 1883 ya mwaka 2024.
Hatahivyo mshtakiwa alikana shtaka hilo na yuko nje ya dhamana baada ya kukamilisha masharti aliyokuwa amewekewa ambayo ni kuwa mtumishi wa serikali pamoja na bondi ya mali isiyohamishika yenye thamani ya Sh 5 milioni.
Baada ya kukamilisha masharti hayo, Mshtakiwa yupo nje ya dhamana hadi Julai 16, 2024 ambapo kesi hiyo itaanza kusikilizwa kwa hoja za awali huku upande wa mlalamikaji ukitakiwa kwenda na mashahidi.
Pia soma
- Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi
- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
- Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo
- RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda
hapana mie sio mlawiti siwezi kulawiti, nina akili timamu kabisa kabisa, na sitetei ulawiti. Ila naongea uhalisia wa jambo la Nawanda PhD. Hiyo jambo yake kama la kusukahayo mambo mengi ya kwenye mapenzi hayahalalishi ulawiti. ukilawiti hata kama ni mkeo au mchumba au hata ukiokota malaya barabarani hapo ambaye anataka umlawiti, wee ukimlawiti sheria inasema ushitakiwe. na hiyo kusema kwenye mapenzi kuna mambo mengi maana yake na wewe huwa unalawiti, siku yako yaja. utakuwa nawanda tu.
Mimi siyo Dr. Nawanda.Milioni kumi ilikuja baada ya msala na itatumika kama ushahidi mahakamani, cha msingi umejiabisha kwenye familia yako, mkeo na wanao wanajua kuwa wewe ni mzee wa tope. Kazi umepoteza kwa usengerema wako
Kelele za nini? Tuiache Mahakama ifanye kazi yake sasa, una wasiwasi gani wakati kesi ndio imeanza?
Inashangza sana hii kesi yaani ina maswali kibao.Namsikitikia Nawanda jinsi alivyochafuka na hii kashfa.Yote kayataka mwenyewe tu kwa kukosa vigilance.
Huyu Binti kwa ripoti ya Daktari imethibitisha kuwa kitu butu kiliingizwa kwenye sehemu yake ya haja kubwa.
Na kwamba Polisi walipokwenda kumkagua chumbani kwake Binti walichukua tishu na toilet papers ambazo Binti anadai kuzitumia alipotoka kukutana na Nawanda,wamezipeleka kwa Mkemia kuthibitisha kwenye vinasaba kama tishu hizo Zina manii za mtuhumiwa.
Kitu butu ni dhana Pana,inaweza kuwa Uume,Uume wa bandia au chochote kile kisichokuwa na ncha.Hata tango au karoti inaweza kuwa kitu butu tu.
Binti atathibitisha vipi kama mtuhumiwa alimuingilia kinyume na maumbile kwa nguvu?!..baada ya tendo Binti anasema aliondoka kuelekea chuo,Polisi ameenda kushtaki kesho yake!!
Huo muda wote hapo,kwa watu waliodhamiria kukutengenezea kashfa unatosha kabisa kukumaliza.
Kwa muktadha wa hii kesi,Jamhuri wanategemea hizo tishu zilizoenda kwa Mkemia Ili kumtia hatiani mtuhumiwa.Hizo tishu anaweza kuwa alijifuta manii baada ya kufanya mapenzi kwa njia ya Kawaida.
Hicho kitu butu madaktari wanachosema kiliingia kwenye sehemu ya haja kubwa ya muhusika kinaweza kuwa chochote na sio lazima uwe Uume wa mtuhumiwa!
Huyu Binti kama alivyosema mwenyewe kuwa alikuwa na mahusiano na mtuhumiwa,Nina mashaka kuwa ametumiwa na mahasimu wa Kisiasa wa Nawanda.
Maana kiukweli Nyota yake ilikuwa inan'gaa sana.
Mahakama itende Haki,kama Yahaya Nawanda ana makosa kwenye hili aadhibiwe.Kama Hana Makosa asafishwe,na alipwe fidia kubwa.
Umepigilia msumari kwenye neno lenyewe1 WAKORINTHO 6:9 INASEMA
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti.
ENGLISH: "Know ye not that the unjust shall not inherit the kingdom of God? Do not err: neither fornicators nor idolaters nor adulterers nor effeminate nor homosexuals.
TAFSIRI NYINGINE: 9 Or do you not know that wrongdoers will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived: Neither the sexually immoral nor idolaters nor adulterers nor men who have sex with men[a] 10 nor thieves nor the greedy nor drunkards nor slanderers nor swindlers will inherit the kingdom of God.
Nawanda atashinda sio kwasababu kabambikiwa, atashinda kwasababu hawako tayari mwenzao ateketee, si unaskia RC mwanza alishaanza kuweka mambo sawa.Mimi siyo Dr. Nawanda.
Mimi ni mtu nisiyependa watu kubambikwa kesi, hasa za ubakaji sijui ulawiti.
Elewa kuwa hao walikuwa ni wapenzi.
Kuna mambo mawili hapo.
Moja, binti alikuwa na hasira na Nawanda kwani alijua anaenda kumuacha kwa sababu ya ukicheche hivyo akawa anapanga kumkomoa.
Pili, walijitokeza watu waliokuwa wanamtafuta Nawanda siku nyingi hivyo wakapata fursa ya kumtumia binti kumuamgusha Nawanda.
Now mark my words. Nawanda atashinda kesi, jiulize swali, ukibambikwa kesi kama hiyo kapuku usiye na influence utachomoka?
Kwa nini mnashadadia ubambikwaji kesi?
Namba 3 biblia haikutaka kumung'unya manenoUmepigilia msumari kwenye neno lenyewe
1. Wazinzi
2. Waasherati
3. Wafiraji
4. Walawiti
5. Wasengenyaji
6. Wezi
7. Wenye tamaa (mwili, mali au maendeleo ya mtu mwingine kwa husuda na nia ovu)
8. Wazembe na wavivu
9. Wabadhirifu na mafisadi
10 Waabudu sanamu (in diversity meaning)
hapo kuna maneno mawili, ufiraji na ulawiti. ufiraji nadhani ni mwanaume kufira mwanamke, ila mwanaume kufira mwanaume wanaita kulawiti. hamtaurithi ufalme wa Mungu hakika.Namba 3 biblia haikutaka kumung'unya maneno
Huyu jamaa wamempanga tu. Hii kesi anachomoka ata waroge vpNamsikitikia Nawanda jinsi alivyochafuka na hii kashfa.Yote kayataka mwenyewe tu kwa kukosa vigilance.
Huyu Binti kwa ripoti ya Daktari imethibitisha kuwa kitu butu kiliingizwa kwenye sehemu yake ya haja kubwa.
Na kwamba Polisi walipokwenda kumkagua chumbani kwake Binti walichukua tishu na toilet papers ambazo Binti anadai kuzitumia alipotoka kukutana na Nawanda,wamezipeleka kwa Mkemia kuthibitisha kwenye vinasaba kama tishu hizo Zina manii za mtuhumiwa.
Kitu butu ni dhana Pana,inaweza kuwa Uume,Uume wa bandia au chochote kile kisichokuwa na ncha.Hata tango au karoti inaweza kuwa kitu butu tu.
Binti atathibitisha vipi kama mtuhumiwa alimuingilia kinyume na maumbile kwa nguvu?!..baada ya tendo Binti anasema aliondoka kuelekea chuo,Polisi ameenda kushtaki kesho yake!!
Huo muda wote hapo,kwa watu waliodhamiria kukutengenezea kashfa unatosha kabisa kukumaliza.
Kwa muktadha wa hii kesi,Jamhuri wanategemea hizo tishu zilizoenda kwa Mkemia Ili kumtia hatiani mtuhumiwa.Hizo tishu anaweza kuwa alijifuta manii baada ya kufanya mapenzi kwa njia ya Kawaida.
Hicho kitu butu madaktari wanachosema kiliingia kwenye sehemu ya haja kubwa ya muhusika kinaweza kuwa chochote na sio lazima uwe Uume wa mtuhumiwa!
Huyu Binti kama alivyosema mwenyewe kuwa alikuwa na mahusiano na mtuhumiwa,Nina mashaka kuwa ametumiwa na mahasimu wa Kisiasa wa Nawanda.
Maana kiukweli Nyota yake ilikuwa inan'gaa sana.
Mahakama itende Haki,kama Yahaya Nawanda ana makosa kwenye hili aadhibiwe.Kama Hana Makosa asafishwe,na alipwe fidia kubwa.
Tatizo aibu aliyoitia familiaHuyu jamaa wamempanga tu. Hii kesi anachomoka ata waroge vp
Wahaya wanapenda kesi htr anaweza uza ngombe Kwa kesi ya kukuHuyu baba nimewahi soma thesis yake kuhusu participation hapo IDS UDSM.
Na alishawah nitumia salamu za heri. Kumbe ndo alivyo... Khaa
Ila wa baba wa kusini kwa kupenda wanawake ni tishio. Unakuta libaba loshastaafu muda Ila liko busy na vischana vya miaka 19.
Wakati mwingine epukeni fedheha kwa kutembea na watu ambao kesho akishikwa masikio anaweza kukuharibia future. Nina Imani huyu msichana sio akili zake kupeleka hii ishi mbele hivi
Nawanda hana kesi pale, kwasabb hajabakwa. Alipewa kila kitu kwa hiari yake.Sahau! Huenda Upelelezi utakamilika baada ya uchaguzi 2025