DMU za zamani Kenya kutoza nauli mara 4 ya Modern BRT ya Tanzania

DMU za zamani Kenya kutoza nauli mara 4 ya Modern BRT ya Tanzania

Serikali yoyote yenye kujali wananchi wake na uchumi wowote wenye kuimarika lazima viweze kupunguza gharama za maisha kwa wananchi wake.

Wakenya kwakweli serikali yenu haina msaada wowote kwa wananchi wake, haijali kabisa maisha yao zaidi ya kuendelea kuwatoza kodi kubwa kila mwaka. Usafiri wa train na meli ndio "the cheapest". Iweje train iwe ghali kuliko buses?
Km haitujali mbona mishahara inalipa vizuri ndio manake hata mafundi ujenzi wanalipwa vizuri kuliko tz kw sababu anayemlipa tayari kalipwa vizuri

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Kenya ni nchi ya vituko na vitimbwi, mtu wa hali ya chini hana wa kumtetea kabisa, nauli ya Ksh 100 kwa train za zamani wakati BRT inatoza chini ya Ksh 35 ni aibu na fedheha kwa Kenya
No wonder our tax revenue is three times the number Tanzania collect.
 
Hzo DMU sio zimekuumiza sana[emoji23][emoji23][emoji23]
BRT na DMUs wapi na wapi we bwege..

Alafu 35 mbona hela ndogo sana, hyo hata kw matatu labda uonewe huruma..nchi maskini bana

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Katika mambo yanayozingatiwa katika kuamua ubora na uzuri wa nchi ni pamoja na gharama za usafiri, Chakula, rent, utilities na gharama za matibabu. Kenya ni miongoni mwa failed states kutokana na ukweli kwamba gharama za maisha haziendani na kipato cha wananchi, kumbuka unemployment 46%
 
Katika mambo yanayozingatiwa katika kuamua ubora na uzuri wa nchi ni pamoja na gharama za usafiri, Chakula, rent, utilities na gharama za matibabu. Kenya ni miongoni mwa failed states kutokana na ukweli kwamba gharama za maisha haziendani na kipato cha wananchi, kumbuka unemployment 46%
Nikumbuke nini jomba na watu wana mudu usafiri wao wa kila siku mjini, tatizo mnataka mjilinganishe na sisi ndipo mnapokosea..yani mnadhania tupo level moja kumbe ukwel hamuujui...

Ni sawa na sisi wakenya tulazimishe gharama zetu za maisha zilingane na za south africa, hapo tutakua kichekesho duniani..
Ukipitwa we kubali tu, hao unemployment unaowataja sai wanafanya kazi mitaani kw wiki wanakula mpunga wao mzuri hku wengine wanajihusisha na biashara ndogo ndogo mtaani..

Au umesahau km kenya kuna urahisi wa kufanya biashara



Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Nikumbuke nini jomba na watu wana mudu usafiri wao wa kila siku mjini, tatizo mnataka mjilinganishe na sisi ndipo mnapokosea..yani mnadhania tupo level moja kumbe ukwel hamuujui...

Ni sawa na sisi wakenya tulazimishe gharama zetu za maisha zilingane na za south africa, hapo tutakua kichekesho duniani..
Ukipitwa we kubali tu, hao unemployment unaowataja sai wanafanya kazi mitaani kw wiki wanakula mpunga wao mzuri hku wengine wanajihusisha na biashara ndogo ndogo mtaani..

Au umesahau km kenya kuna urahisi wa kufanya biashara



Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Unaongea pumba mpka sio poa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwaiyo unamanish nini kwa huu upupu ulio andika?
 
Katika mambo yanayozingatiwa katika kuamua ubora na uzuri wa nchi ni pamoja na gharama za usafiri, Chakula, rent, utilities na gharama za matibabu. Kenya ni miongoni mwa failed states kutokana na ukweli kwamba gharama za maisha haziendani na kipato cha wananchi, kumbuka unemployment 46%
I guess you don't know the reason why Nairobi is the most expensive city in East Africa, if you want cheap things go to Dar es Salaam and Mogadishu which are both in less-developed countries
 
Unaongea pumba mpka sio poa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwaiyo unamanish nini kwa huu upupu ulio andika?
Yani imekuingia hadi ukashindwa uanzeje kunengua[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoma ni ile ile tu jomba

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Hatuwezi shutushwa nchi maskini ikifanya hvo, watu wengi hawajiwezi..
Tz dar ukiweka fare 100 watu wataanza kutembea, manake km mzunguko wa pesa tz ni kidogo sana kuliko kenya

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Vipi watu wanaishi katika mabanda ya Nguruwe kule Kibera kama mzungungo wa pesa ni mkubwa?
 
I guess you don't know the reason why Nairobi is the most expensive city in East Africa, if you want cheap things go to Dar es Salaam and Mogadishu which are both in less-developed countries
Sasa wewe unabishana na dunia walioiweka Kenya katika kundi la failed states?
 
Yani imekuingia hadi ukashindwa uanzeje kunengua[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoma ni ile ile tu jomba

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Kifupi vitu vinavyo fanya nchi iwe bora ni pamoja na kuwa na cost ndogo za maisha ....unasafari ndefu sana ...endelea kukaa huko Msa utaelewa miaka 10 ijayo
 
Kenya ni nchi ya vituko na vitimbwi, mtu wa hali ya chini hana wa kumtetea kabisa, nauli ya Ksh 100 kwa train za zamani wakati BRT inatoza chini ya Ksh 35 ni aibu na fedheha kwa Kenya

Unalinganisha mgonjwa na marehemu?
Kenya pato lao ni kubwa kulinganisha na Tanzania, wao ni wakweli na hawaongopi uchumi!

Kama tupo uchumi wa Kati kwanini uone hiyo Tshs 2000 kubwa?
 
Vipi watu wanaishi katika mabanda ya Nguruwe kule Kibera kama mzungungo wa pesa ni mkubwa?
Hii reasoning capacity yako iko chini sana. Hahaha hadi unafanya nicheke. Sasa kama baadhi ya watu wanaishi kwenye slums hio inamaanisha kuwa mzunguko wa pesa hauwezi kuwa mkubwa au gharama ya maisha haiwezi kuwa ghali? Mbona hakuna logic kwa argument yako?
 
Unalinganisha mgonjwa na marehemu?
Kenya pato lao ni kubwa kulinganisha na Tanzania, wao ni wakweli na hawaongopi uchumi!

Kama tupo uchumi wa Kati kwanini uone hiyo Tshs 2000 kubwa?
Anataka Kenya tufanane na TZ. Sasa huku kila kitu ni bei ghali ukilinganisha na TZ. Hata Mkate tunanunua bei ghali kuwashinda. Mafuta ya gari pia tunanunua bei ghali kuwashinda sasa itakuwaje kuwa kwenye nauli tutatoshana? Hio haiwezekani. Nauli hapa Kenya ni bei ghali kushinda Tanzania. Karibu kila kitu ni bei ghali Kenya kushinda Tanzania. Lakini vile vile mishahara pia iko juu Kenya kushinda TZ. Madaktari, Walimu nk wanalipwa vizuri hapa kushinda TZ. Lakini huyo mleta mada hataki kufikiria. Anataka kulazimisha Kenya iwe sawa na TZ.
 
Anataka Kenya tufanane na TZ. Sasa huku kila kitu ni bei ghali ukilinganisha na TZ. Hata Mkate tunanunua bei ghali kuwashinda. Mafuta ya gari pia tunanunua bei ghali kuwashinda sasa itakuwaje kuwa kwenye nauli tutatoshana? Hio haiwezekani. Nauli hapa Kenya ni bei ghali kushinda Tanzania. Karibu kila kitu ni bei ghali Kenya kushinda Tanzania. Lakini vile vile mishahara pia iko juu Kenya kushinda TZ. Madaktari, Walimu nk wanalipwa vizuri hapa kushinda TZ. Lakini huyo mleta mada hataki kufikiria. Anataka kulazimisha Kenya iwe sawa na TZ.
Kwa kifupi hapa aliyeleta mada ni "mtoto wa mjumbe wa CCM aliyeishia "form four " chuo cha Kata huko uukumani, infact ni mshamba kuliko hata watu wa Kisii na Samburu
 
Back
Top Bottom