DNA test aliyoifanya mwanamuziki Bobi Wine yaonyesha kuwa mtoto aliyemlea kwa miaka saba sio wake


mamaae yaan nyinyi ndio walewale. Kwann umsakizie mimba mmeo? Dharau zngne na manyanyaso mnayataka wenyew
 
jamii nzima inajua kuwa si baba yake.....itamwathiri sana.....yeye angetafuta namna tu ya kumuondoa kwenye familia lakini si hvyo alivyofanya.....

mm naona kafanya jambo jema na angemfurumusha hata huyo mamayake mamaae
 
Dada zetu bhana yaani hamuoni ujjinga wa huyo dada ila kibao kinageuzwa kwa mwanaume via mgongo wa mtoto!!!!!

Akamatafutie babake halali mtoto awe na "father" na "parter". . . . . .!!

nawashangaa,,,, ngoja na mm nikawapime watoto wangu asee!
 

Hakuna ki2 kinauma kwa mwanaume kma ujue umebambikiziwa mtoto,istoshe mtoto wa hvyo huwa n sura tofauti sana n wenzake hata ukiangalia picha utamwona yuko tofauti n watoto wa bobiwine
 
mm naona kafanya jambo jema na angemfurumusha hata huyo mamayake mamaae

acha roho mbaya kwa mtoto....sasa yeye ana kosa gani.....?mama yake anaweza kuadhibiwa lakini siyo mtoto......hivi uchungu upo kwa mtoto wa damu yako tu.......? alitakiwa kumwandaa kisaikolojia huyo mtoto ili ajitambue kuwa siyo baba yake na siyo hvyo alivyofanya.....
 
Umeona eeeh kupima DNA ni kumdhalilisha mwanamke

Kakudhalilisha kivipi?Hivi ni haki mtu kulea na kuhudumia mtoto ambaye si wake?acheni kutetea ujinga aende kwa Baba yake akalelewe.Mnataka tuwaamini kila kitu wakati hamwaminiki.Safi sana Bobby Wine umefanya uamuzi mzuri sana huo ndo uanaume sio unakaa na mitoto ambayo sio yako.
 
Hahahaha msinipopoe mawe jaman
 
kafanya lililo jema

tatizo lenu akina mama whenever things turn to your faults, you always find a way to blame the other party

He did it the right way, telling the truth after living a lie for years

unajua mama sawa unaweza mfanya chochote.....ila kwa swala la mtoto lazma uwe na huruma.........fikilia mtoto kwa miaka 7 anakuita baba afu gafla unamwambia mie siyo baba yako.......alitakiwa aende nae taratibu kumtoa katika ile hali.......
 

ishu si kukaa kimya....ishu ni yule mtoto kuikubali ile hali kirahisi.....unadhani haitamwathiri kisaikolojia....? alitakiwa akae nae amweleze hali halisi .....na uku akimpa maneno ya matumaini....but alichofanya ni kama kumfukuza na kuwa na hasira nae......
 
Ningekuwa mimi ningeteta na mama tu na nisingemwambia mtoto wala kubadilika katika chochote na angeendelea Kuwa part of my family...
 

Hiyo ni ngumu sana unavyotaka wewe unashauri hivyo coz haupo kwenye situation husika ungekuwa umetendewa wewe hivo sidhani kama ungeongea hivyo,lawama zote ni kwa mwanamke tena ni muuaji kabisa angekuwa anaupendo wa kweli angeita familia ya kwao na ya mume mapema wayajadili kabla hayajaripuka hayo nadhani hata mwanaume angebadilisha msimamo wake
 

Umeongea point sema umekosea kitu kimoja nakuharibu vyotee,huo ushauri uliousema ilitakiwa kwanza utolewe kwa mwanaume ajiandae kisokolojia then akishakubaliana na hali halisi ndio aende kwa huyo mwanae wakusingiziwa hapo ingewezekana ndio maana unaambiwa kinga ni bora kuliko tiba ...
 
Hakuna ki2 kinauma kwa mwanaume kma ujue umebambikiziwa mtoto,istoshe mtoto wa hvyo huwa n sura tofauti sana n wenzake hata ukiangalia picha utamwona yuko tofauti n watoto wa bobiwine

Inauma kwa kweli ni bora MTU akupige risasi ya kichwa kuliko kukata na kiwembe kwenye mkono na kuweka chumvi na pilipili
 
Inauma kwa kweli ni bora MTU akupige risasi ya kichwa kuliko kukata na kiwembe kwenye mkono na kuweka chumvi na pilipili

Tatizo haswa ni sisi wanaume wenye dna ya macho tu inatosha hata kma mtoto kafanana na mama yke ila kuna vi2 vyako lazma awe navyo mwilini kwake kma kucha,vidole,pua etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…