The mountain lion
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,153
- 418
Hiyo kitu ya kupima DNA siifanyi,bora niishi kwa matumaini kuwa ninaowalea ni watoto wangu.
So ni bora uendelee kujidanganya kwamba mtoto ni wako wakati si wako.Acha woga wewe kapime watoto kama ni wako chukua uamuzi mgumu sio unalea mitoto ambayo sio yako.!