Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna matata.Wwe inaonekana umempa Mume wako watoto wa mwanaume mwingine lazima.itakua hivyo!!
Matata yapo sana!!,kutumia mbegu ya mwanaume mwingine bila ridhaa yake ili kulinda ndoa yako hilo ni kosa kisheria! Na ni swala la muda tu hilo bomb [emoji378]lako litakulipukia!!Hakuna matata.
Tulia wewe, maisha sio magumu hivyo.Matata yapo sana!!,kutumia mbegu ya mwanaume mwingine bila ridhaa yake ili kulinda ndoa yako hilo ni kosa kisheria! Na ni swala la muda tu hilo bomb [emoji378]lako litakulipukia!!
Hatari hii🚨 Imebainika kuwa mshambuliaji wa timu ya taifa ya Nigeria 🇳🇬 Kayode Olarenwaju watoto watatu ambao ilisemekana ni wake yeye na mke wake,kipimo Cha DNA kimethibitisha kuwa sio watoto wake wote hao wala hawaendani kwa damu.
Kwa mujibu wa taarifa za mfanano ni kuwa watoto hao wanaelezwa kuwa wa Pastor mmoja mkubwa nchini Nigeria ambae jina lake hakijawekwa wazi. Olarenwaju alibambikwa watoto hao. 💔✅
Kuna watu AKILI ZIMEPUNGUA AU?Kitanda hakizai Haram aendelee kumpenda mkewe tena aongeze mapenzi huku akilea watoto kwa bashasha
Wapumbavu wameamua kuoa na upumbavu unawagharimu..!!Mara muuawe mara mletee watoto wasio wenu aai lazima mpoteane, ila acha muendelee kunyooshwa hata hivyo mlitunyanyasa sana mjue
Bora muolewe tu km kuoa kumewashindaWapumbavu wameamua kuoa na upumbavu unawagharimu..!!
#YNWA
Ukishaoa ndio unaletewa mtoto asiye wako?Bora muolewe tu km kuoa kumewashinda
Bora uolewe mkuuUkishaoa ndio unaletewa mtoto asiye wako?
#YNWA
Mchungaji?isipokuwa mwanamke kazaa na mchepuko ambaye ni baba mchungaji.
Aolewe tena?Bora uolewe mkuu
Sasa km kuoa hawezi si anaolewa tuAolewe tena?
Mchuchu mboni unamwaga povu?Mara muuawe mara mletee watoto wasio wenu aai lazima mpoteane, ila acha muendelee kunyooshwa hata hivyo mlitunyanyasa sana mjue
😅😅😅nilijisikia tu kulimwagaMchuchu mboni unamwaga povu?
Povu lilikua limejaa ukaona ulipunguze, emu tuvurugane basi au leo hutaki😅😅😅nilijisikia tu kulimwaga
Nataka kujilalia mwenzioPovu lilikua limejaa ukaona ulipunguze, emu tuvurugane basi au leo hutaki