digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Na mimi nipe basi😂😂😂😅😅mkeo kashakitombeshq mpk kakuletea watoto wasio wako kwani? Jiue tu huna faida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nipe basi😂😂😂😅😅mkeo kashakitombeshq mpk kakuletea watoto wasio wako kwani? Jiue tu huna faida
Siwapeagi wale wanalea watoto wasio wao mkeo kakushinda mi utawezana kweli?Na mimi nipe basi😂😂😂
Wee nipeee uone,napeleka moto ,ila ujue tu hata uwe mtamu kiasi gani lazima nikutafutie msaidizi mwingineSiwapeagi wale wanalea watoto wasio wao mkeo kakushinda mi utawezana kweli?
jamaa kabla hajapima DNA alitakiwa apime uwezo wake wa kuzaa kwanza, isijekuwa yeye hazai kabisa na hapo mwanamke alimfichia siri ili wasiachane.🚨 Imebainika kuwa mshambuliaji wa timu ya taifa ya Nigeria 🇳🇬 Kayode Olarenwaju watoto watatu ambao ilisemekana ni wake yeye na mke wake,kipimo Cha DNA kimethibitisha kuwa sio watoto wake wote hao wala hawaendani kwa damu.
Kwa mujibu wa taarifa za mfanano ni kuwa watoto hao wanaelezwa kuwa wa Pastor mmoja mkubwa nchini Nigeria ambae jina lake hakijawekwa wazi. Olarenwaju alibambikwa watoto hao. 💔✅
Tatizo ya kuoa miyanamike umeikuta barabarani ndio hayo.Hii inshu ya mwanamke kuleta mimba za nje ndani ya ndoa inakata sana mzuka wa kuoa
Huo ni ujinga anilitee mitoto ya haramu nilee, si bora nikalishe masikini.jamaa kabla hajapima DNA alitakiwa apime uwezo wake wa kuzaa kwanza, isijekuwa yeye hazai kabisa na hapo mwanamke alimfichia siri ili wasiachane.
Hapana asante niliyonayo huku yanitoshaWee nipeee uone,napeleka moto ,ila ujue tu hata uwe mtamu kiasi gani lazima nikutafutie msaidizi mwingine
mbingun mtapaskiaAmzalie kamoja ka kumfuta machozi
Siyo issue hiyo tu, ndoa ina mambo mengi sana ya kipumbavu ambayo mtu mwenye akili timamu hawezi kuyakubali. Ndoa ni upumbavu.Hii inshu ya mwanamke kuleta mimba za nje ndani ya ndoa inakata sana mzuka wa kuoa
wewe nahisi unaumwa mkuu.Inatakiwa ushukuru sana maana ni bahati hiyo. Wenzio wanakesha wakilia, wengine wanahangaika kuasili ila wewe baraka imekufuata nyumbani kwako. Bahati iliyoje hii!
Sawawewe nahisi unaumwa mkuu.
Naomba nikupeleke hospitali kuchukua vipimo.
Wwe inaonekana umempa Mume wako watoto wa mwanaume mwingine lazima.itakua hivyo!!Shida iko wapi!!
Mwanaume kama mtoto siyo wako unajua tu,sema wengine wanaamua kupiga kimya tu,lakini moyoni mwao ukweli wanao! Mtoto hata ukiletewa akiwa mkubwa utamjua tu hata kama hukumlea!!DNA hakuna makosa. Nadhani hujanielewa, huyo jamaa mpaka ameamua kwenda kupima ina maana alishakuwa anaishi kwa mashaka na wala asingekuwa na raha kama unavyodhani sababu alitia shaka kitu. Ni bora kajuwa ukweli. Hakuna kitu kibaya kama unaishi na mtu lakini huamini anachofanya. Ataishi vizuri tu atapata mke na atazaa wanae wa damu ndio amani ataipata huko.
Ni kweli ila wanawake wana siri nyingi sana ni rahisi kumgundua mwanamme aki cheat kuliko mwanamke.Mwanaume kama mtoto siyo wako unajua tu,sema wengine wanaamua kupiga kimya tu,lakini moyoni mwao ukweli wanao! Mtoto hata ukiletewa akiwa mkubwa utamjua tu hata kama hukumlea!!