Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Sio wote wanaohitaji msaada wana ujasiri wa kuomba msaada, hivyo wanasaidiwa tu.Alikuomba umsaidie, tatizo lenu moja wengi wenu hamstahimili kuambiwa ukweli pindi unapotakiwa kuwajibika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wote wanaohitaji msaada wana ujasiri wa kuomba msaada, hivyo wanasaidiwa tu.Alikuomba umsaidie, tatizo lenu moja wengi wenu hamstahimili kuambiwa ukweli pindi unapotakiwa kuwajibika.
Uko confused sana,tulia,hiyo ni K yako,tombsha uwezavyoMara muuawe mara mletee watoto wasio wenu aai lazima mpoteane, ila acha muendelee kunyooshwa hata hivyo mlitunyanyasa sana mjue
QmmmmmmmQeNguvu ya kujua ina madhara yake.
Kuna dingi(simjui) alikuwa anakula single maza muhamiaji pale kijijini kwake,kumbe yule maza ana ngoma.
Dingi amekula weee, maza akaja akakata ringi ghafla.
sasa pale msibani kukawa na maneno ya chinichini kuwa maza alikuwa na chuma.
Amadi!!!maneno hayo dingi akayapata... Dingi kengere ikagonga kichwani.
Lakini kwa wakati huo hakuwa na dalili yoyote ya kuugua wala kukonda.
baada ya mazishi dingi akachukua Nginjo(bike) hadi Zahanati na kwenda kupima. Ooh Dingi ana chuma!!!.
Majibu tu yakamfanya apararaiza hapo hapo.
Aliende Zahanati akiwa na Nguvu za kunyonga baiskeri lakini baada ya majibu vijana wake ndiyo walienda kumkokota toka pale Zahanati, Dingi hawezi tembea tena.
Na haikuchukua wiki kadhaa dingi akakata Moto.
So,uenda dingi asingelijua hali yake angeliishi miaka mingi mingine ila alipojua tu,kosa ndiyo likaanzia hapo.
kwani tuliombwa tusaidiwe?, au tuliombwa tuheshimishwe kwa watoto waliozaliwa nje?, mbon mnajipa ujuaji mwingi wakati hatujakubaliana?, sasa hao watoto wa nje kwanini wadipelekwe kwa baba yao mzazi?, alafu unaniletea mimi niwalee?, dadeq.Wengine hata nguvu za kuzalisha hamna, mnasaidiwa kupata watoto na kuheshimishwa halafu bado mnaleta pang'eng'e!!
Ogopa mtu anaetaka mwanaume mweusi lakini anapenda apate watoto weupe.
Sio wote wanaohitaji msaada wana ujasiri wa kuomba msaada, hivyo wanasaidiwa tu.kwani tuliombwa tusaidiwe?, au tuliombwa tuheshimishwe kwa watoto waliozaliwa nje?, mbon mnajipa ujuaji mwingi wakati hatujakubaliana?, sasa hao watoto wa nje kwanini wadipelekwe kwa baba yao mzazi?, alafu unaniletea mimi niwalee?, dadeq.
never na hakuna kitu kama hicho, kama ni watoto wapo wa kuasili , na hawatofautiani na hao wa nje.Sio wote wanaohitaji msaada wana ujasiri wa kuomba msaada, hivyo wanasaidiwa tu.
Na hapo ndio umeheshimiwa na kuheshimishwa.
Ilikuaje mpaka wakafikia uko kwenye DNA jamani!!Jamaa analipigania Taifa lake huku mkewe analiwa ovyo.DNA imeonyesha watoto wote siyo wa jamaa isipokuwa mwanamke kazaa na mchepuko ambaye ni baba mchungaji.
Sasa kiherehere cha kupima DNA alikitoa wapi!!
Sasa si umerahisishiwa kamchakato. Tayari unao wako ndani tena wako na jina lako. Wewe ni kulea tu.never na hakuna kitu kama hicho, kama ni watoto wapo wa kuasili , na hawatofautiani na hao wa nje.
Kiherehere tu kilimsumbua. Angetulia tu alee watoto wake.Ilikuaje mpaka wakafikia uko kwenye DNA jamani!!
narahisishiwa mchakato kwani nilimwambia au aliniuliza kuwa nahitaji?.Sasa si umerahisishiwa kamchakato. Tayari unao wako ndani tena wako na jina lako. Wewe ni kulea tu.
Inatakiwa ushukuru sana maana ni bahati hiyo. Wenzio wanakesha wakilia, wengine wanahangaika kuasili ila wewe baraka imekufuata nyumbani kwako. Bahati iliyoje hii!narahisishiwa mchakato kwani nilimwambia au aliniuliza kuwa nahitaji?.
Yaani kukitombesha nje ndio kuheshimishwa?Sio wote wanaohitaji msaada wana ujasiri wa kuomba msaada, hivyo wanasaidiwa tu.
Na hapo ndio umeheshimiwa na kuheshimishwa.
Unasaidiwa kile kilichokushinda, shida iko wapi?Yaani kukitombesha nje ndio kuheshimishwa?
Ila si shangai nyie ndio wanawake kwa mtizamo na akili hizo na mpongeza atakayekuwa na ww.Unasaidiwa kile kilichokushinda, shida iko wapi?
Atakaye au anaye?Ila si shangai nyie ndio wanawake kwa mtizamo na akili hizo na mpongeza atakayekuwa na ww.
Hata huyo aliye ............Atakaye au aliye?
Asante sana, nitamfikishia pongezi.