ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mwanamke ndio kiumbe hatari kuliko vyote dunianiWanawake ni viumbe hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke ndio kiumbe hatari kuliko vyote dunianiWanawake ni viumbe hatari sana
Akikupiga la kushoto mgeuzie na la kuliaKitanda hakizai Haram aendelee kumpenda mkewe tena aongeze mapenzi huku akilea watoto kwa bashasha
Nguvu ya kujua ina madhara yake.Sometimes unaishi kwa amani kwakua kuna taarifa huzifahamu
Kisha nyoa kipala umpe na utosi akukoeAkikupiga la kushoto mgeuzie na la kulia
Kwa sasa hii umetoa gharama za baby shower , halafu unapigwa kwa kweli magerezza yatajaaHii inshu ya mwanamke kuleta mimba za nje ndani ya ndoa inakata sana mzuka wa kuoa
Wajiongezea points Sana this week...Wazee wa kataa ndoa wanajipakulia minyama tu. Tunatetea ndoa mpaka tunachoka
huyo ni balaa!anagonga na mademu wa SPA za mitaani hatariHawa akina Mwamposa malaya sana hawa wanakula sana sheep na Goat
wewe ulitaka alee mabao ya wengne?Sasa kiherehere cha kupima DNA alikitoa wapi!!
Sure mkuu..Hii inshu ya mwanamke kuleta mimba za nje ndani ya ndoa inakata sana mzuka wa kuoa
Wanawake wanachukulia simple sana hela za mwanaume. Mtu kahudumia miaka yote hawajui machungu yake waulize wao sasa lini washawahi kuwapa wanaume zao hata elfu 50 tu.Mkisikia mtu kauawa msiishie kumlaumu muuaji, tafuteni na sababu ya hayo mauaji.