DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

Shida iko wapi!!
Daaah kwa hiyo ww huoni shida.

Hapo ndipo nakuja kupata jibu kwani wanaharakati na wanawake wa Tennesse US hawaitaki sheria ya Mandatory Partenity test kwa kila mtoto atakaye zaliwa apimwe DNA.Tatizo lenu wabinafsi sana na mnapenda kulalamika "wanaume wote malaya....." ila DNA hamuitaki kwa kuwa mnajiua mnavyo vifanya.

Kama mtu ameamua kuchepuka awajibike kwa mtoto aliye mpata huko nje, kwa kumpatia mahitaji yake ya msingi au amforce huyo aliye mpatia mimba awajibike. Kila mtu awajibike kwa matendo yake na si kupeana misalaba husiyo husika nayo.
 
Sasa kiherehere cha kupima DNA alikitoa wapi!!
Ukiona mtu paka anaenda kupima basi anaenda kujiridhisha tu 100% lakini anakuwa tayari 90% kaona red flags. Mimi nilishasema humu hakuna watu waharibifu na usiwaamini kuwakaribisha nyumbani kama Mashekh, sijui ma padre muhimi viongozi wa kiroho hawa wote hawafai( wengi wao 90%) ni watu wa hovyo kabisa wanajificha nyuma ya dini.
 
Ni rasmi Sasa research yangu inaenda kutimia kwani ni mwaka tangu nianze kuzichunguza zile familia zenye watoto zaidi ya mmoja,yaani ni wa kwanza tu ndio hufanana na wazazi wote ila wanaofuata ni specimens tofauti kabisaa,na kama mama ana damu Kali mwanaume utasingiziwa Hadi ukome.Achana na kataa Ndoa,..PIMENI DNA.
 
Daaah kwa hiyo ww huoni shida.

Hapo ndipo nakuja kupata jibu kwani wanaharakati na wanawake wa Tennesse US hawaitaki sheria ya Mandatory Partenity test kwa kila mtoto atakaye zaliwa apimwe DNA.Tatizo lenu wabinafsi sana na mnapenda kulalamika "wanaume wote malaya....." ila DNA hamuitaki kwa kuwa mnajiua mnavyo vifanya.

Kama mtu ameamua kuchepuka awajibike kwa mtoto aliye mpata huko nje, kwa kumpatia mahitaji yake ya msingi au amforce huyo aliye mpatia mimba awajibike. Kila mtu awajibike kwa matendo yake na si kupeana misalaba husiyo husika nayo.
Kitanda hakizai haramu.
 
Ukiona mtu paka anaenda kupima basi anaenda kujiridhisha tu 100% lakini anakuwa tayari 90% kaona red flags. Mimi nilishasema humu hakuna watu waharibifu na usiwaamini kuwakaribisha nyumbani kama Mashekh, sijui ma padre muhimi viongozi wa kiroho hawa wote hawafai( wengi wao 90%) ni watu wa hovyo kabisa wanajificha nyuma ya dini.
Ona sasa ataishi na hasira na majuto ya kujitakia. Yeye angetulia tu alee watoto wake. Ukute hata majibu yamekosewa!
 
Kitanda hakizai haramu.
Msemo huo ambao hata huko US wanapotetea haki zenu washaanza kuukata ndio maana wameweka sheria. Wewe kama ukitoa boko pambana na uliyetoa nae boko alee mwanao.
 
Msemo huo ambao hata huko US wanapotetea haki zenu washaanza kuukata ndio maana wameweka sheria. Wewe kama ukitoa boko pambana na uliyetoa nae boko alee mwanao.
Wengine hata nguvu za kuzalisha hamna, mnasaidiwa kupata watoto na kuheshimishwa halafu bado mnaleta pang'eng'e!!
 
Kuna siku nilikuwa nabishana na jamaa mmoja nikawa namwabia hizi serikali zifanye mfumo wa mtoto anapozaliwa kabla hajatoka hospital mpime DNA,hii ingesaidia sana kuliko kuootezeana muda
 
Wengine hata nguvu za kuzalisha hamna, mnasaidiwa kupata watoto na kuheshimishwa halafu bado mnaleta pang'eng'e!!
Alikuomba umsaidie, tatizo lenu moja wengi wenu hamstahimili kuambiwa ukweli pindi unapotakiwa kuwajibika.
 
Kuna siku nilikuwa nabishana na jamaa mmoja nikawa namwabia hizi serikali zifanye mfumo wa mtoto anapozaliwa kabla hajatoka hospital mpime DNA,hii ingesaidia sana kuliko kuootezeana muda
Jimbo la Tennesse US washa pitisha sheria hii ya Mandatory Partenity test.

Jimno la Florida nao washapitisha sheria inayowabana wadangaji wanao tegesha mimba kwa wenye hela ili wapate Allomony.
 
Wafuga vitambi ambao mazoezi hawana wanagongewa,haya wenye mazoezi ambao mda mwingi wanashinda gym nao wanachapiwa,yaani hayanaga formula.

Ila siku tu serikali itakapo rahisisha hili zoezi la DNA,ndoa nyingi zitavunjika.Kwani kizazi cha vijana hawapo tayari kulea bao la mwanaume mwengine.
Usijiroge ukapime DNA hospitali za serikali wao wanavutia upande wa watoto. Lazima wachakachue watoto wawe wako ili walelewe vizuri. Nimeshashuhudia mara mbili. Wafu wanapima Muhimbili wanaambiwa +ve then wanaenda kulinganisha na Saifee au Aga khan unakuta -ve.
 
Ona sasa ataishi na hasira na majuto ya kujitakia. Yeye angetulia tu alee watoto wake. Ukute hata majibu yamekosewa!
DNA hakuna makosa. Nadhani hujanielewa, huyo jamaa mpaka ameamua kwenda kupima ina maana alishakuwa anaishi kwa mashaka na wala asingekuwa na raha kama unavyodhani sababu alitia shaka kitu. Ni bora kajuwa ukweli. Hakuna kitu kibaya kama unaishi na mtu lakini huamini anachofanya. Ataishi vizuri tu atapata mke na atazaa wanae wa damu ndio amani ataipata huko.
 
Back
Top Bottom