DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

Hakuna matata.
Matata yapo sana!!,kutumia mbegu ya mwanaume mwingine bila ridhaa yake ili kulinda ndoa yako hilo ni kosa kisheria! Na ni swala la muda tu hilo bomb [emoji378]lako litakulipukia!!
 
Matata yapo sana!!,kutumia mbegu ya mwanaume mwingine bila ridhaa yake ili kulinda ndoa yako hilo ni kosa kisheria! Na ni swala la muda tu hilo bomb [emoji378]lako litakulipukia!!
Tulia wewe, maisha sio magumu hivyo.
 
Hatari hii
 
Hii ndio inaitwa vita Sasa ..achana na ile ya hamas na mayahudi au Russia na NATO ..nasemaje hii ndio imerudi vita, ukichomoka hapo basi hufi wewe mbinguni unaenda kama Eliya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…