MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Afya njema (hasa ya uzazi), pesa na familia. Hivyo ndo vipimo vikuu vya mafanikio ya mwanaume. Kama ni hela peke yake hata mashoga wanazo.Kumbe kinachompa mtu sifa sio ndoa kumbe ni mafanikio
Lakini sifa nazo sio hulka ya kila mtu.
Wewe unakibunda chako then mtu anakuja kukuita wewe sio mwanaume mwenye mafanikio, haikupunguzii chochote.
ELon Musk kwasababu hana ndoa hata ukimuita mwanaume asiye na mafanikio, richa ya yeye kutojali kauli yako ila kadamnasi itakuona wewe ni mjinga na umewadhalilisha maskini wenzako.
Familia ni neno ambalo lipo subjectiveAfya njema (hasa ya uzazi), pesa na familia. Hivyo ndo vipimo vikuu vya mafanikio ya mwanaume. Kama ni hela peke yake hata mashoga wanazo.
Huo ni uchafu sio sifa, imenifanya nikudharau, Uzi wako nilikua nimeupa mda lakini kwa comment yako hiyo sioni kama una akili za kushauri jamii ya watu waelewa, unajisifu kwa kuzinii kweli bogus.Mkuu mimi nagombaniwa na wanawake.
Lkn mimi mjanja. Sina ushamba wa wanawake.
Siku si nyingi tu kuna mwanamke nilikua nakula kula na nikitoka basi natoka nae na ofisi zetu zipo ghorofa moja. Sasa kumbe kuna rafiki yake akaanza kumjaza maneno kwambi mimi ni playboy mara hv mara vile. Nikaona hadi chats zao ila sikuongea kitu sababu nawajua wanawake.
Mwanamke kaanza kuleta za kuleta nikapiga chini. Nashangaa mwenzake anaanza kujilengesha na ninapoongea usiku huu yupo hapa katoka kuchezea bao 3 swafi kabisa.
Sijasema usiwe na madem, nasema usioe
Are you married?Okay, let's make this as short as possible.
Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.
Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?
Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.
Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.
Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.
Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Kiingereza kingi kumbe mjinga saana una akili finyu, sijasoma ulichoandika huko juu ila hiki ulichoandika mwishon kwenye utambulisho wa jina lako ndo kimenifanya nikuone hamnazo.Okay, let's make this as short as possible.
Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.
Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?
Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.
Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.
Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.
Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Ulichoandika hapa ndo sababu ya wewe kuoa?Siku utakayoumwa usiku na kukosa mtu wa kukupa msaada, ndio utajua umuhimu wa kuoa.
Sorry mleta maada sikukusudii wewe. Ila binafsi naona hizi maada zinaletwa na mashoga ili tuwaone wanawake ni wabaya.
Wanawake wema bado wapo.
Mjibu hoja zakeKiingereza kingi kumbe mjinga saana una akili finyu, sijasoma ulichoandika huko juu ila hiki ulichoandika mwishon kwenye utambulisho wa jina lako ndo kimenifanya nikuone hamnazo.
Ndugu wewe ni hanithi?Familia ni neno ambalo lipo subjective
Hata kuwa single nako pia ni aina ya familia.
Naweza nikawa na pesa zangu nyingi nikakusanya wazazi wangu na ndugu zangu nikawa naishi nao nyumba moja kwa furaha. Hiyo pia ni familia.
Familia sio lazima uwe na mke na watoto wakuishi nyumba moja.
Kwani siku hizi kipimo cha urijali ni ndoa?Ndugu wewe ni hanithi?
Wewe mwenyewe ni.mtu sahihi?Hakuna asiyependa kuwa na mtu sahihi ila kwa dunia ya sasa mambo yamekuwa ni magumu mno ktk kumpata huyo mtu sahihi
Wewe ni hanithi?Kwani siku hizi kipimo cha urijali ni ndoa?
Kipimo cha uhanithi ni nini?Wewe ni hanithi?
Kwahiyo wanaume tuu ndio tunaoumwa wao aaaahSiku utakayoumwa usiku na kukosa mtu wa kukupa msaada, ndio utajua umuhimu wa kuoa.
Sorry mleta maada sikukusudii wewe. Ila binafsi naona hizi maada zinaletwa na mashoga ili tuwaone wanawake ni wabaya.
Wanawake wema bado wapo.
Jibu swali kwanza.Kipimo cha uhanithi ni nini?
Kwa dunia ya sasa ndoa haina maana kwa mwanaume, labda mwanamke anaweza kufaidika na ndoa kwa sababu kuna masilahi yake yanalindwa kisheria, vile vile mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inaweza kumtoa kimaisha, lakini kwa upande wa mwanaume marriage is a trap, disater, slavery and liabilityOkay, let's make this as short as possible.
Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.
Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?
Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.
Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.
Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.
Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Ikiwa msingi wa mantiki zako ni kila kitu kuhusu wewe ubinafsi basi sawa.Okay, let's make this as short as possible.
Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.
Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?
Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.
Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.
Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.
Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.