Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.


Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Haya, tumekusikia mchafuzi wa familia zetu. Ila usitupangie. Tunajua yote hayo na bado tutaoa au unataka ndoa ziwe za viumbe gani pekee hapa duniani tofauti na binadamu.
 
Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.


Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
Mr. Wako mtiifu naona umeamua kumalizia kibabe sana hapo mwisho. Ila honestly ndoa sio lifestyle inayoweza mletea maendeleo kijana wa leo. Labda wale wa 80s kushuka chini huko.
 
Mnachokisema kinaweza kuwa kweli lkn hebu tufikiri leo mwanao bado mdogo miaka ishirini ijayo atakuwa na 25 na mpk 30 hataolewa sababu kila mtu kachukua ushauri huu kama muelekeo wa maisha.Ataishia kulalwa na kila mwanaume,akibahatika sana atazaa na mme wa mtu na umri ukiwa umeenda ataanza kutembea na vijana wadogo.Unachokikiri kwa ulimi wako hakitakuja kwako tu kitakuja hadi kwa kizazi chako dada,mdogo na watoto kuwa makini
 
Wee ndoa muhimu km ni mtu mwenye akili timamu natak kuwa na familia,kuwapa malezi wanangu vizuri wakiwa na babayao,kuwa na mtu wa kunipa utulivu wa nafs na mwili,alafu mm nimelelewa na wazazi wangu so siwez kuikataa ndoa never pia ni sheria uzinifu sio kitu kizuri
Sasa sii njoo basi nikuwowe tuanzishe familia jamaniupate tulizo la nafsi na mwili
 
Watu sahihi tuwapate vipi wakati wameshapitia mahusiano kibao hata kufikia hapa wameshaota sugu.
Waty wengi sasahiv. Wanamatatizo ya afya ya akili kutokana na mambo wanayopitia ila hawataki kukubali ukweli
Nina mkaka tupo karibu aliumizwa na mkewake kias had kuzaa nje lakin sijawah msikia anasema wanawake wabaya na always anakubali alikosea na ataoa Tena soon ana kilakitu kuanzia nyumba biashara na magari na mtu mzuri Sana
Wengi trauma zinawasumbua wapate msaada wa kisaikilojia ila ni wabishi wanaona wako sawa
 
Mnachokisema kinaweza kuwa kweli lkn hebu tufikiri leo mwanao bado mdogo miaka ishirini ijayo atakuwa na 25 na mpk 30 hataolewa sababu kila mtu kachukua ushauri huu kama muelekeo wa maisha.Ataishia kulalwa na kila mwanaume,akibahatika sana atazaa na mme wa mtu na umri ukiwa umeenda ataanza kutembea na vijana wadogo.Unachokikiri kwa ulimi wako hakitakuja kwako tu kitakuja hadi kwa kizazi chako dada,mdogo na watoto kuwa makini
Wana tatizo la emotional trauma hawataki kukubali kuwa wamepitia mambo mabaya kuhus wanawake wapate Somo na wasonge mbele
Mwanamke hajawah kuwa mbaya Wala mwanaume hajawah kuwa mbaya ni wew na uchaguzi wako na ndoa haiwez kuwa taasis mbovu had Dunia hii itakapoisha
 
Eti mnaishi na litoto la mtu kabisa mmefunga pingu za maisha mnadanganyana, mnapikiana michuzi na kulala pamoja.

Hauwezi hata kuwa huru, unakuwa mtumwa, unaingia kwenye kifungo. Hata ukitaka kujamba lazima uombe ruhusa: PLEASE MADAM, MAY I JAMBA? NOOO THANK YOU, DONT JAMBA.

Ukienda kazini analeta dume lingine linamdinya, ukifa anarithi mali zako na basha ake.

Wakati huo wewe upo kuzimu unaungua MOTO WA MILELE huku mkeo amechumishwa mboga kwenye kitanda chako.

Cc: Mbaga Jr Extrovert dronedrake Poor Brain The Icebreaker Kapeace Half american
 
Okay, let's make this as short as possible.

Kwa nn unaoa? I mean, what problems do you think marriage will help you solve? List them down.

Are those problems permanent? Je hayo matatizo unayotegemea kuyatatua ukiwa na ndoa ni ya kudumu?

Only a desperate idiot gives a permanent solution to a temporary problem. Ni punguani au zwazwa pekee ndio anaelipa tatizo la muda mfupi solution ya kudumu.

Pussy? Kids? Cooked food? Vyote hivo unavipata kiurahisi kabisa kwenye dunia ya sikuhizi bila kutake risk ya kujifunga na litoto la mtu ambalo unaweza kuta ni professional slut.

Anyway, I promised to make this short. Kaa kijanja. Wenye ndoa wana watoto nje wewe unaenda kuoa ili upate watoto. Do not be an idiot, tafuta hela, watoto wako wakifikia umri sahihi unapewa waje waishi kifahari na wewe, usitafutie mwanamke na mpenzi wa mke wako hela.

Wako mtiifu,
Boyfriend wa mke wako na baba mzazi wa watoto unaowalea,
Teslarati.
I find your arguments psychotic, inaonekana you have bad experience in dating women, someone cheated on you, I dunno but get yourself together and stop writing this nonsense.
 
Back
Top Bottom