sory na nimekuelewa sana mtu wangu but ujui ur repeatation imenitouch vp?esp.ur few wise words.
can i prospond to xplain til next tm?im sory.let me chl kdogo laterz.wl PM u .
was intending to say repeatation and postpond typng era awali Asha...
Zenye butter ndio nzuri kinywaji Azam Cola bana new drink in townMmhh
Unataka butter na chumvi kwenye popcorn?
Je wataka m&m's pia? Kinywaji gani?
Mountain Jew Au V???
i think for agies now dunia tumekua tukiamini katika mapenzi baadhi ya vitu ambavyo avna mashiko wala mustakabal ktk mahusiano...tumekaririshwa kwa kiwango kikubwa kitu ambacho kinatugharimu...lakini WIVU nionavyo mm ni kweli yaeza tumika kama silaha moja ambayo inaeza kujenga au kubomoa.kikubwa ni je nn nafasi ya wivu katika mahusiano? au ni nn kinapeleka wivu katika mahusiano?
maaana mm ni muumin wa mahusiano bila wivu inaezekana BUT only if both of u ur truly CONSCIOUS about relationshp and love.
and what maters in io kitu...na mostly nimerialize wasiyo na hekima au busara au elewa vema kusud la maisha na mahusiano kama kipengere watasubukia wivu lkn vicevesa is true...ah ok bana ltr bt Jesus says somthng abt ths.UR NOT SUPPOSE TO BE ATTACHED to the anythng xcept himself.and if not try to understand this...THE MEASURE OF LOVE IS LOVE WITHOUT MEASURE.
Nimekupata..sidhani kama huo naweza kuita wivu.. kama ulivyosema hiyo ni proud.. level ya satisfaction..ya kuona ..huyu ni wangu..
Mimi naamini wivu ni ule ambao unafanya hadi mtu unakereka.. ni karaha.. ni extreme..na una-negative impact..
By the way, nadhani kitu ulichosema ni tukubaliane ni kama a certain level ya wivu ambayo ni nature ya mwanadamu.. ni tolerable limit.. na kama unajua hatuwezi ku-discuss nature..kwani hata wanyama wa porini at the certain limit wana wivu..Binafsi nilikuwa nalenga vile vitu ambayo ni beyond nature..
Tatizo kubwa ni kujua the reasonable limit ambayo ni nature yetu..hapo ipo kazi..
Jamaa ana wivu mpaka umepitiliza
lol
Oooooh so sad Sherrif, ila usikate tamaa muda wako tu hujafika....kwani umemkosea nini Mungu? nina imani kila mtu duniani kapewa nafasi yake ya kupenda na kupendwaI've never felt loved in all relationships I've been involved so far. I've always loved and gave my all, but never got any of that in return!
Thanks for asking
Ashadii, thread imetulia sana, mie kwa upande wangu huwa wakati mwingine nahisi maji kupwa na maji kujaa, yaani wakati mwingine najisikia napendwa saaana mpaka najiona im the luckiest woman living in this planet, na wakati mwingine najiona sipendwi, nakuwa mpweke, sometimes unawaza mpaka unalia mwenyewe, then baada ya muda unaona tena mahaba yamerudi, sijui hii nayo ni nini!....na hii hali hainifanyi nikate tamaa ya kukatisha mahusiano
Shantel yaani hiyo feelings hata mie nakuwaga nayo. Sijui ni nini kinasababisha hivi?!
@AshaDii, hii ni thread nzuri sana..sikuiona mapema!! You're so wise!!
Nashukuru kumpenda mtu na kuwa na imani ananipenda. Japo sometimes nakuwa sijielewi kitu kidogo kikinichanyanya. Chachu ya mawasiliano pia kuongelea jambo lililonikera muda huo inasaidia kuliko kukaa na kinyongo moyoni.
Umeona eeeh?? lol.... Hapa it is all about Loving and Loving and making Love..... Kipipi Do you feel loved?
Wengine tumegundua a new concept: MasturDating (Courtesy of King'asti)Valentine day is one of those days ambazo haya mambo yafaa saana ku apply to get an answer... Hope you feel loved tomorrow....:tongue:
Wengine tumegundua a new concept: MasturDating (Courtesy of King'asti)