Do you feel LOVED?

what a good topic. i dont feel loved


Kwa hio ume note you are wasting your precious time eeh? Alafu kingine Dadam kwa dada mwenye age ya 27 inabidi uwe makini sana in choosing your patners... na beta yet hii sio age ya kuchanganya guys waachie wadogo huko; for waweza pata a good guy na ukayachanganya kwa kumchanganya.... Best of Luck katika kutafuta ufumbuzi wa tatizo lako dear...
 
I do. I feel love flowing from everywhere, and I spread some love around too. 🙂


This is so sweet.... And you know how I love it when one is in love....:violin:


Dedication to you Alter.... With Love...


 
Last edited by a moderator:
[h=2]Do you feel LOVED?[/h]...yes, I do...sana tena...
 
  • Jealousy….


...Hivi, unapokuwa na mwenza ambaye
"hakuonei" wivu kabisa, yaani hakuulizi unakwenda wapi, unarudi saa ngapi, unakwenda kuonana na nani...yaani wewe urudi mapema sawa, urudi kesho alfajr sawa...hiki nako ni kipimo gani cha mapenzi, au amejaaliwa daraja kubwa la uvumilivu?
 


Mbu NO WAY!! Labda awe mwanamke ka react hivo I would understand.... ila sio mwanaume ambae kweli anampenda Mwanamke wake... kweli kaja asubuhi na uone sawa tu? Mbu can U? Yaani sitaki kuamini....
 
Reactions: Mbu
Mimi naanza kuzeeka siwezi tena hizi speed... Ngoja nile nilale zangu,lol!
 
Mbu NO WAY!! Labda awe mwanamke ka react hivo I would understand.... ila sio mwanaume ambae kweli anampenda Mwanamke wake... kweli kaja asubuhi na uone sawa tu? Mbu can U? Yaani sitaki kuamini....

...dahh, sitaki kuweka ushuhuda wangu hapa...ila kwa 'mtazamo' wangu ni dalili ya kuchokana, ingawa pia nishamsikia mtu anadai yeye "anamuamini sana" mumewe, ..hata arudi alfajr almuradi karudi nyumbani, hamuulizi!
 
Mimi naanza kuzeeka siwezi tena hizi speed... Ngoja nile nilale zangu,lol!


hahaha.... mimi niliaga kama 45 minutes ago bado niko hapa...lol. But soon nami natoka nipo hoi, naona tumezeeka woote.

BTW Do you feel Loved? lol
 

...dahh, sitaki kuweka ushuhuda wangu hapa...ila kwa 'mtazamo' wangu ni dalili ya kuchokana, ingawa pia nishamsikia mtu anadai yeye "anamuamini sana" mumewe, ..hata arudi alfajr almuradi karudi nyumbani, hamuulizi!



Mbu kuamini kwa hivo ndo yale ya thread ya Finest ya "Crazy things we do when in Love" hio ni definately Crazy!! Upande wangu siwezi vumilia, bahati mbaya nina wivu wa roho kuuma... cha kujifia? lol

Pal ushuhuda is good once in a while bana.... si wewe ndio ulitwambia "Fungua Moyo" ?
 
hii imenigusa , mm nimekaa n man 2yr and half, he never said ilove yu , alikua ananiambia ican not promise u ,bcz nina matatizo. only nimsikilize problem zake tu igot tired and walk away , he never bothered to look for me any more till now, kwa hiyo n kweli but why? why men munafanya hiv?
 

Bora na nyie mshaliona hilo, mie kuna mdada nilikuwa namwambia lakini anaona kama namchanganyia madesa!! Inafikia kipindi mtu harakati zinatakiwa zipungue, mwenzangu na mie ndo kwanza usharobaby unakolea......kwanini masharobaro wenzie wasimsumbue???
 

Ni bora ulijiondokea mapema kuliko ambavyo ungeendelea kuishi kwa matumaini! Pole.....japokuwa haya mambo yako pande zote, kwa wanawake na wanaume!! Na bahati mbaya sana it happens...unampenda mtu na kuwa nae lakini ye wala hata hakujali! Ila sometimes mtu unaweza kufikiria japo kidogo, neno 'I love you' ni common sana ndo wengi hulitumia kama kichocheo( hata kama ni kwa kudanganyia), sasa huyo wa kwako 2yrs??? Mmmh.....
 
Na nilikuwa nakusubiria kwa hamu Roulette, hatimae umekuja na a new thing!! Hivi unajua Kipipi umemwacha empty hapo......ebu make her understand it bana lol!!

Masturdating is having a date with yourself and enjoying it. You do everything you would do on a date, but you do it alone 🙂 (nimeitoa kwa King'asti)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…