Elections 2010 Do you know why not Dr Slaa 2010-2015?

Elections 2010 Do you know why not Dr Slaa 2010-2015?


uchochezi na vurugu haziwezi kusaidia bali zitatuletea shida zaidi ya hizi tulizonazo!!! Tuacheni tuishi kwa amani na wala hatutaki tanzania izae wakimbizi!!! Nchi zote zinazotuzunguka zina vita na migogoro!!! Sasa huku kwetu kukitokea machafuko tukimbilie wapi? Au chadema munatuahidi mahali salama pa kutupeleka pindi pakitokea machafuko? Mbona chadema kila siku munaongelea vita na uasi? Sera zenu ni kumwaga damu za wa tanzania? Hivi hamuoni raha mpaka muzungumzie kumwaga damu zetu? Kila siku matishio! Munatoa siku saba kwa maafisa wa jeshi, yaani yale ya lyatonga mrema miaka ya 90 ndio sasa zimekuwa sera zenu za vitisho!!!

nahakika mwalimu nyerere angefufuka leo na kuona vurugu na sera hizi za chadema lazima angesema (siwezi kuwaachia mambwa watawale nchi yangu)!!!

asiesikia la mkuu huvunjika guu!!!



una kilema cha akili , tatizo ni kwamba hujitambui!!

Where the heck is Rev. Masa, watu kama hawa hutakiwi kuongea nao kwa maneno .. ni wa wazito wa ubungo! Picha tu ndo wanaweza kuelewa!
 
Nina uhakika asilimia kubwa ya wanavyombo vya usalama, wanayafahamu haya yote tunayoyafahamu sisi. Wanafahamu jinsi ndugu zao wanavyoishi ktk umaskini wa hali ya juu, wanafahamu jinsi, ndugu zao wanavyopata shida ya matibabu, wanafahamu jinsi familia chache sana hapa Tanzania zinazonufaika na maliasili ya nchi hii, na wanafahamu sana kile Dr Slaa anachokipigania. Nacho amini ni kwamba, kuna kundi kubwa tu ndani ya vyombo vya usalama nao wamechoka kama watanzania wengine. mantiki hiyo, nadhani, mziki utakuwa mzito sana, na kuna hatari ya watu kuasi na kuwa upande wa wananchi.
 
Kama Mimi sielewi mbona nchi yetu masikini? Off course there are few good things that CCM has done, to very few Tanzanian like u rich man thus why u still support CCM because u know what it has done to u and due to Ur ignorance u can not think about poorer s,those live in difficult life,health and so many thing which Ur brain can not recognize that because Ur selfish like Ur father CCM .:smow:
 
thanks MR MAZINGIRA Ni kweli huwa wanaiba pale tofauti inapokuwa ndogo. Lakini Slaa akipata kura mil 11 na Kikwete kura mil 3 hawana ujanja inabidi wakubali tu. Lakini kama Slaa akipata kura mil 8 na Kikwete mil 7.2 hapo wanachakachua kabisa hawa watu, hawaaminiki hata kidogo.
THANKS 4 UR EXCELLENCE ANSWER AND THAT IS TRUE,so tunachotakiwa kufanya ni kila mtu akapige kura na kuwashawishi wenzako wawili hapo mtaani ili warudi kundini(CHADEMA) na kuweza kwenda kupiga nao kura.:llama:
 
Bwa ha haha,
Omar bana, eti anamlinganisha Mbowe na Rostam
Unafiki na uzandiki wa kiwango cha juu kabisa toka kwa consultant wetu.

Akiiba Mwafrika mwenzio ni sawa. Ila akiiba Bulushi ndiyo tatizo. Huo ndiyo UNAFIKI haswa. :hand:
 
Tunaomuunga mkono Dk. Slaa tutapiga kura? Mashabiki wengi wa Chadema waliopo mijini na miongoni mwa wasomi hawakujiandikisha kupiga kura na hivyo hawatapiga kura! That is very bad. TUMESHAMUANGUSHA! TUJIANDAE TU KUKUBALI MATOKEO!



Ni ukweli usiofichika kwamba Dr. Slaa ana-uwezo wakujieleza kuliko JK. Na ni ukweli usiofichika kwamba Watanzania wanapenda mageuzi... ndio maana hata mwaka 2005 walimtegemea JK kwa mageuzi sana ndio maana alipata kura nyingi.

Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu kwamba ushindi hauwezi kuja kirahisi kiasi hicho... CHADEMA hawawezi kushinda kiti cha urais kwa sababu hizi.

1. Hivi wandugu Dr. Slaa anawezo kufika maeneo yote ya nchi kabla ya October 31st.
2. Hivi mwajua wahudhuria mikutano ni asilimia ndogo sana ya wapiga kura?
3. Hivi helcopter ya CHADAMA inayotua kwenye kijiji x kwa dakika 40 (kipindi cha shule ya msingi enzi zile) yatosha kweli kufanya waliohudhuria wote wabadili mwelekeo wake kwa % zote?
4. Mwajua kuna sehemu ambapo CCM imeonekana imefanya mambo, mfano kule Monduli, kule Rombo etc..
5. Kitendo cha CCM kuwa na wagombea ngazi zote ambao wanaomba kura za Mbunge na Rais wao ndio mwimba mchungu lakini wa kweli.

===>Ni kweli tutegemee CCM kutopata kura zaidi ya 70% kwa urais lakini la CHADEMA kushinda ni ndoto unless tusogeze uchaguzi hadi Feb 2011
 



una kilema cha akili , tatizo ni kwamba hujitambui!!

Where the heck is Rev. Masa, watu kama hawa hutakiwi kuongea nao kwa maneno .. ni wa wazito wa ubungo! Picha tu ndo wanaweza kuelewa!

Ama kweli nyani haoni kundule. Yaani ulichoandika wewe na unachoshangilia huyo anayebandika picha ndiyo khaswa kilema cha akili. Pumbafu! :tonguez:
 
nakubaliana juu ya ccm kuiba kura, lakini mbona hatuendi mbali kujiuliza, mbona kwa ndesamburo hawaibi?? na kure tarime kila siku wanaanguka?? karatu napo miaka 15 hawakuweza kuiba?? mfano wapiga kura asilimia 90 wakampa slaa wataiba ngapi?? haiwezekani,
sisi tukapige tu kura kuikataa ccm. Mwaka huu inawezekana, kama 1995 pamoja na nguvu kubwa ya mwl Nyerere hawakushinda
kiivyo itakuwaje kipindi hiki ambapo hata wastaafu ndani ya chama hawana hamu na ccm?? Ndugu zangu inawezekana kabisa ccm
kutoka tena kama kumsukuma mlevi kwenye mteremko..
 
Back
Top Bottom