DOCTOR: Kwa Damu yako hii na Mke wako, Kamwe Hamuwezi kupata mtoto/watoto!

DOCTOR: Kwa Damu yako hii na Mke wako, Kamwe Hamuwezi kupata mtoto/watoto!

Rhesus factor ni aina ya blood proteins flan ziligunduliwa kwa Rhesus monkeys,kwa hiyo rhesus factor ilipewa jina hilo kwa sababu iligunduliwa kutoka kwenye rhesus monkeys.However,wale wenye Rh+ inamaanisha wanazo hizo proteins na wale wenye Rh- inamaana hawana hizo proteins.Hizi factors ni inherited,yaan zinakuwa transmitted from kizazi kimoja kwenda kingine.Na zina influence kwenye haya ma'complexities ya kuishi kwa watoto walio tumboni....just google utaielewa zaidi.

Human Blood: Rh Blood Types

thanks sana. Na je, kuwa na blood group + au - ndo kunaashiria kuwepo +rhesus au -rhesus respectively?
 
Wana JF poleni na shughuri za Kila cku! Nimejitokeza Mbele yenu kuomba Masada kufuatia majibu tuliyopata kutoka kwa Dk mmoja. Ni hivi Mimi na Mke wangu tangu tumefunga ndoa sasa ni zaidi ya Mwaka mmoja na nusu Mke wangu alihangaika sana kupata ujauzito lakini baada Kama ya miezi 6 alifanikiwa mimba ikanasa.

Tulipata furaha sana baada ya kuomba sana na hatimaye Mungu akajibu maombi yetu, kwa bahati mbaya sana furaha ilidumu kwa miezi 2 tu kwani wife alijikuta amepata tatizo la miscarriage. Ilibidi twende hospitali alisafishwa salama, lakini ikabidi tuombe ushauri kwa Dk kwanini hii Hali imetokea ndipo Dk ktk kumuuliza wife Kuwa alitumia kitu gani eg. Chakula au kinywaji kilichopelekea Hali hii? Basi ktk mahojiano ya muda mrf na Dk ilibainika Kuwa wife kuna cku alitumia vitunguu swaumu vilivyopondwapondwa akachanganya na asali akala, hii ni kawaida yake kwani anapopata homa ndogo hutumia vitu hvyo huwa hapendi kutumia dawa za hospital.basi Dk aka conclude Kuwa ndo chanzo cha miscarriage.


Baada ya miezi 2 akapata tena ujauzito uliodumu kwa miezi 3 tu nao ukatoka, tukaenda tena hospital na Dk akatupima magrupu ya Damu zetu wote vipimo vikasema tuna Damu Group A positive na ndipo akasema kwa Damu zenu hizi Hamuwezi kupata mtoto. Ikitokea Mke wangu akapata ujauzito hadi hatua ya kujifungua basi atajifungua Kiumbe ambacho c riziki na hata kikiwa riziki basi mtoto huyo atafariki baada ya muda Fulani sababu Damu zenu hazipatani yaani positive na positive lazima zikwepane.

NB. Damu zetu Kuwa Group A positive simaanishi Kuwa ni HIV Positive la hasha!

Ngugu zangu naombeni msaada wenu kwani ndoa Yangu sasa ipo mashakani hakuna mwenye furaha ni simanzi na majonzi tu Kila cku. Kosa lilifanyika kwa kutopima magrupu ya Damu zetu mapema Kabla ya kufunga Ndoa. Naombeni msaada wenu Jamani.
Pole sana mkuu ila jaribu kupitia hii link hapa Matching Blood Groups For Marriage-Blood Groups That Do Not Match For Marriage
 
thanks sana. Na je, kuwa na blood group + au - ndo kunaashiria kuwepo +rhesus au -rhesus respectively?

Uko sahihi mkuu,ukiambiwa wewe ni o+,maana yake unayo rhesus factor(simply blood proteins au rhesus proteins),ukiambiwa wewe ni O-ve,ujue huna hizo mambo...hope tuko pamoja.
 
Kwa upande wangu mm nina B+ na mchumba wangu hivyo hivyo tunaweza oana msaada pls
 
Pekua pekua yangu ya Biology, sikumbuki notes zinazosema +ve na +ve hawaendani.....yule mwalimu alinilisha kasa nini?

kaka usikate tamaa mapema hivyo, hata hivyo mwaka mmoja na kitu naona sio muda wa kukata tamaa. Jaribu kuwatafuta madaktari bingwa wa akina mama, watawasaidia.
 
Pole sana.
Mi nawajua wamama kibao huwa wanafiwa na watoto wachanga na wengine mimba hata tatu, lakini baadae wanazaa mfululizo.
Wengine wanasema sababu ya mimba kuharibika aidha ni kwasababu alikua anatoa mimba au tumia madawa ya kuzuia mimba.
 
...................... Dr. ni mwanadamu aliyeumbwa na MUNGU, ni sawa kutafuta ushauri ili uelewe kisayansi hali inasemaje then mwombe MUNGU aingilie kati.
 
Akishafanya utafiti arudi kutupa majibu. Fanya vyote ulivyoshauriwa. Poleni sana
 
Uko sahihi mkuu,ukiambiwa wewe ni o+,maana yake unayo rhesus factor(simply blood proteins au rhesus proteins),ukiambiwa wewe ni O-ve,ujue huna hizo mambo...hope tuko pamoja.

thanks sana.Natumia simu or else wouldve gven a like.
 
Nenda Bugando onana na Gynaecologist mmoja anaitwa Dr. Ng'walida.
 
Back
Top Bottom