esitena tetena
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 1,747
- 1,082
madaktari gani wanaoenda? mbona kama hujaielewa taarifa?madaktari wanaoend uko kenya waji anglie..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
madaktari gani wanaoenda? mbona kama hujaielewa taarifa?madaktari wanaoend uko kenya waji anglie..
Hamnazo = Bashite. OverSafi sana Mahakama ya Kenya..
Ninge support Tz kupeleka madaktari Kenya kama Kenya ingekuwa na upungufu wa Madaktari..
Lakini Madaktari wapo kwenye mgogoro mkubwa wa kimaslahi na serikali yao halafu Nchi Jirani tunapeleka madaktari kwenye Nchi hiyo.. NO.
Hata wewe uliyetoa kibali cha hao madaktari kwenda Kenya utakuwa hamnazo.
Mtulie watanzania....mahakama imesema serikali isitishe kuwaajiri madaktari hao hadi pale kesi itakaposikilizwa...it's an open case
Asiye mzalendo ni yupi hasa? Anayefurahia Watanzania wakose ajira au yule aliyefungia ajira?uzalendo umekwisha kabisa miongoni mwa watanzania. wakawa wanafurahia watanzania wenzao waendelee kukosa ajira.
Post imetolewa kwa hisani ya Chang'aa.Mimi ni mkenya tunajielewa sana sisi. Watanzania nyinyi maiti.
Si boko, ni tafsida.Hili boko
Wakenya nao wajiandae kutimuliwa Tanzania kwani ni uhuni kuajiri wakenya wakati watanzania hawana ajiraNi uhuni kuajiri watu kutoka Tanzania wakati wakenya hawana ajira.niko pamoja na mahakama ya Kenya inayojali maslahi ya watu wake
Mnaotoa vibali kwa wakenya kuajiriwa Tanzania futeni hivyo vibali watanzania kibao hawana ajira kwa nini mtoe vibali kwa wakenya?Mahakama za Kenya zinajua wajibu wao
Haukuwa sahihi kwenye mahusiano ya kimataifa ukinifanyizia nakufanyizia wakenya wamezuia madaktari wetu kwenda wamefanya kinyume na makubaliano ya jumuiya ya Afrika mashariki kuhusiana na ajira za madaktari ambamo wanaruhusiwa kwenda kufanya kazi popote ndani ya jumuiya bila vipingamizi. Mahakama ilichofanya italeta vilio vingi kwa wakenya wengi walioajiriwa Tanzania na watakaotaka kuajiriwa Tanzania. Kuwa mkenya akiomba kazi Tanzania lazima Kwanzaa ihakikiwe kama Hakuna mtanzania hata mmoja asiye na ajira kwenye hicho huyo mkenya kaombaUamuzi mushabara