Juakali1980
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 798
- 506
Mistake is human...so whats your point??Alikua ashakunywa chang'aa huyo askari anashindwa mpaka kushika sword halafu anatembea legelege kalegea legea
Mistake is human...so whats your point??
nasema ukweli toka moyoni, wakenya ni viumbe washamba sana na wanaostahili kuonewa huruma. nikiwaangalia wanavyohangaika ili at least watu wawaone kuwa wana uwezo, ni vichekesho. hata hivyo, nahisi mataifa yenye nguvu yakiangalia vinchi vidogo kama hivi vya africa vikijifanya na vyenyewe ni vidudu mtu, wanacheka sana. ndege moja tu hapo ikidondoshwa vitani, ni msiba kwasababu imegarimia hela za bajeti ya wizara mbili. uwezo wa wakenya kijeshi ni mdogo mno, na hata kama wanavyo vifaa, moyoni mwangu huwa sioni shaka, kama wangekuwa ni maadui wetu, hao ni kuwapelekea tu polisi hawa wa vituoni hamna haja hata kupeleka jeshi, wote hao watachapwa kama watoto tu. ushamba ni mzigo mzito mno aisee.
Ujanielewa mm ni mtz nilikuwa namjibu mkenya kuwa China na Russia ni marafiki zetu watatupatia hata bureYou know nothing about diplomacy. The first african Chinese ally was Tanzania. Mugabe has established a book called "thanks Mwalimu" among great thing for his thanks giving is the "look east policy"
Fool, don't be lazy
Why should I surprise to hear this from you? Its clearly shows that you guys are here just to bash na sio kwendana na reality ilivyo.
You must not forget that SA soldiers were butchered by Seleka rebels. Well, this is what South Africa said before the offensive against M23.
"Therein lies the second point. Tanzania is actually doing a lot of the heavy lifting for the FIB. Its commander, Brigadier General James Aloizi Mwakibolwa has decades of command experience, and is well-suited for this kind of campaign. Beyond this, the Tanzanians are bringing an artillery company, Special Forces and a host of other useful detachments that will be valuable in locating and destroying M23. In total, Tanzania's bringing about 1,300 troops to this fight, actually making them the lead actors in the operation.” dailymaverick.co.za
Jingine?
Umesema ndege moja ikiangushwa vitani ni majonzi makubwa kwa wakenya maana gharama yake ni bajeti ya wizara mbili, hahahaha.nasema ukweli toka moyoni, wakenya ni viumbe washamba sana na wanaostahili kuonewa huruma. nikiwaangalia wanavyohangaika ili at least watu wawaone kuwa wana uwezo, ni vichekesho. hata hivyo, nahisi mataifa yenye nguvu yakiangalia vinchi vidogo kama hivi vya africa vikijifanya na vyenyewe ni vidudu mtu, wanacheka sana. ndege moja tu hapo ikidondoshwa vitani, ni msiba kwasababu imegarimia hela za bajeti ya wizara mbili. uwezo wa wakenya kijeshi ni mdogo mno, na hata kama wanavyo vifaa, moyoni mwangu huwa sioni shaka, kama wangekuwa ni maadui wetu, hao ni kuwapelekea tu polisi hawa wa vituoni hamna haja hata kupeleka jeshi, wote hao watachapwa kama watoto tu. ushamba ni mzigo mzito mno aisee.
Usafirishaji kwa sasa apo Kenya tofauti na wanavyojidai
Huo ndio usafirishaji wenu sio mnafanya kudownload vitu mnasema vyenu wendawazimu nyinyifala wewe hizo picha zote zimepostiwa hapa za magari hiuujinga ndio umeona upost
Huo ndio usafirishaji wenu sio mnafanya kudownload vitu mnasema vyenu wendawazimu nyinyi