Documentary ya KDF

Documentary ya KDF


nasema ukweli toka moyoni, wakenya ni viumbe washamba sana na wanaostahili kuonewa huruma. nikiwaangalia wanavyohangaika ili at least watu wawaone kuwa wana uwezo, ni vichekesho. hata hivyo, nahisi mataifa yenye nguvu yakiangalia vinchi vidogo kama hivi vya africa vikijifanya na vyenyewe ni vidudu mtu, wanacheka sana. ndege moja tu hapo ikidondoshwa vitani, ni msiba kwasababu imegarimia hela za bajeti ya wizara mbili. uwezo wa wakenya kijeshi ni mdogo mno, na hata kama wanavyo vifaa, moyoni mwangu huwa sioni shaka, kama wangekuwa ni maadui wetu, hao ni kuwapelekea tu polisi hawa wa vituoni hamna haja hata kupeleka jeshi, wote hao watachapwa kama watoto tu. ushamba ni mzigo mzito mno aisee.
 
You know nothing about diplomacy. The first african Chinese ally was Tanzania. Mugabe has established a book called "thanks Mwalimu" among great thing for his thanks giving is the "look east policy"

Fool, don't be lazy


Why should I surprise to hear this from you? Its clearly shows that you guys are here just to bash na sio kwendana na reality ilivyo.

You must not forget that SA soldiers were butchered by Seleka rebels. Well, this is what South Africa said before the offensive against M23.

"Therein lies the second point. Tanzania is actually doing a lot of the heavy lifting for the FIB. Its commander, Brigadier General James Aloizi Mwakibolwa has decades of command experience, and is well-suited for this kind of campaign. Beyond this, the Tanzanians are bringing an artillery company, Special Forces and a host of other useful detachments that will be valuable in locating and destroying M23. In total, Tanzania's bringing about 1,300 troops to this fight, actually making them the lead actors in the operation.” dailymaverick.co.za

Jingine?
Ujanielewa mm ni mtz nilikuwa namjibu mkenya kuwa China na Russia ni marafiki zetu watatupatia hata bure
 
nasema ukweli toka moyoni, wakenya ni viumbe washamba sana na wanaostahili kuonewa huruma. nikiwaangalia wanavyohangaika ili at least watu wawaone kuwa wana uwezo, ni vichekesho. hata hivyo, nahisi mataifa yenye nguvu yakiangalia vinchi vidogo kama hivi vya africa vikijifanya na vyenyewe ni vidudu mtu, wanacheka sana. ndege moja tu hapo ikidondoshwa vitani, ni msiba kwasababu imegarimia hela za bajeti ya wizara mbili. uwezo wa wakenya kijeshi ni mdogo mno, na hata kama wanavyo vifaa, moyoni mwangu huwa sioni shaka, kama wangekuwa ni maadui wetu, hao ni kuwapelekea tu polisi hawa wa vituoni hamna haja hata kupeleka jeshi, wote hao watachapwa kama watoto tu. ushamba ni mzigo mzito mno aisee.
Umesema ndege moja ikiangushwa vitani ni majonzi makubwa kwa wakenya maana gharama yake ni bajeti ya wizara mbili, hahahaha.
Hakika waafrica tuna safari ndefu.
Kwakweli nimependa bandiko lako, hasa hiyo avatar yako 'hute'
Yaani ni kama nimekumbuka kule kwetu iringa,
Asante nadhani hawa vidudumtu wa kikenya wamekusikia. Waache kujipiga tuvifua twao tudogo mithiri ya madenge.
Huyu muumbaji wetu ana lengo na sisi weusi ndio maana katufanya kama viumbe wakudharauliwa na kuonekana hatuwezi kitu, ihali yeye wakati wote hujidhihirisha kupitia penye udhaifu,
Tutafika tu mkuu, maana aliyetuumba weusi ndiye aliyewaumba weupe.
 
Usafirishaji kwa sasa apo Kenya tofauti na wanavyojidai
 

Attachments

  • 1472816784969.jpg
    1472816784969.jpg
    34 KB · Views: 40
Licha ya Saudi Arabia kuwa na silaha za kisasa...silaha hizo zimeonrkana kutokuwasaidia kutokana na kuchakazwa vibaya na wa-Houthi...funzo ni kwamba kuwa na silaha za kisasa ni jambo lingine na kupigana vita ni jambo lingine
 
Back
Top Bottom