Ajali iliuwa wangapiNilisoma habari za kifo cha princess D lile tukio lilipangwa na mbaya zaidi hata mwandishi alofatilia ile ajali aliwekwa kizuizini huko Marecan na kitabu chake kilizuiliwa kuuzwa.
Kikubwa nilicho-note mzungu na mwarabu ni paka na panya na hatua walokuwa wamefikia Diana na huyo mchumba wake mwenye asili ya Misri ingekuwa ni aibu kwa familia ya malkia Elizabeth piga ua ingefika kipindi mwanaharam angekuwa ndani ya kasri la malkia
Siyo ubaguzi.Kuna watu hapa duniani huwa hawaeleweki baada ya dakika mbili watafanya kiroja gani!Siyo wa kuwaamini.And,the only good way of keeping your beloved ones safe from the enemies,is to keep the distance!ππππUbaguzi ni kitu kibaya sana,lakini mwanae wa marehemu amechukua mtu mwenye asili ya Africa ndiyo maana mama yetu SSH ameenda msibani.
Ubaguzi ni kitu kibaya sana,lakini mwanae wa marehemu amechukua mtu mwenye asili ya Africa ndiyo maana mama yetu SSH ameenda msibani
Huyo kijana si kaoa binti yetu, tumefiwa na bibi mkwe, Wewe vipi uko dunia gani?Samia anahusika nini hapo? Samia mwenyewe ungejua hata hajui afanyalo yupo tu ngoja liende!
Ila Diana alikua mzuri tuache utaniKila kitu kilikuwa kigumu kwa Princess Diana wakati ule.
Mume anachepuka humu humu kwenye kasri.
Huwezi kutoka kwenda kuolewa huko uarabuni.
Ilifikia akawa anakulwa na mwalimu wake wa farasi.
Ila kuna vitu huwezi zuia, especially nyegezi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Samia anahusika nini hapo? Samia mwenyewe ungejua hata hajui afanyalo yupo tu ngoja liende!
huna akili.Ubaguzi ni kitu kibaya sana,lakini mwanae wa marehemu amechukua mtu mwenye asili ya Africa ndiyo maana mama yetu SSH ameenda msibani.