Puncler
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 1,386
- 1,888
Protecting the Kingdom/Empire at any cost.Ukiwa Queen au King unatakiwa kuwa katili[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Protecting the Kingdom/Empire at any cost.Ukiwa Queen au King unatakiwa kuwa katili[emoji3][emoji3]
kujiendekeza tuKila kitu kilikuwa kigumu kwa Princess Diana wakati ule.
Mume anachepuka humu humu kwenye kasri.
Huwezi kutoka kwenda kuolewa huko uarabuni.
Ilifikia akawa anakulwa na mwalimu wake wa farasi.
Ila kuna vitu huwezi zuia, especially nyegezi
Nilishawahi kusikia mahali kwba huyu malikia elizabeti ni uzao katika cha mtume muhamadi.nilishasikia hii habari zaid ya mara mojaDody alikua keshampa mimba mrembo Diana Imagine mtoto angezaliwa alafu akaitwa prince Osama Dody Al-fayed mjukuu kwenye familia ya bi Elizabeth.